Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Hizo ndio lobbying, Unakaa na matajiri ili uwe tajiri

Mtu ambaye anaona jamaa hastahili kuishi kwenye apartment nzuri, kuendesha gari nzuri na kuvaa vizuri kwa sababu hajatoa nyimbo. Atakuwa hajui hizo issue za ommy zinaweza muingizia kiasi gani
Watu wanajua sana km dimp ana mambo nje ya music, na anaingiza pesa, ila haitoi ukweli yeye ni GAY, Kwan Gays wote hawana mipango yao ya kupata maokoto? Nweiii chanzo cha yeye kupata deals na sytem kwa matajiri n nn?

Tusisemee ukweliii? Au wee ni shabikii akee ko hutak kukubalii ukwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jux analiwa na boss pale kwa hotel iliyo pembezoni na bahari, tena sio yeye had rafik ake wa pemba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unajua kisa cha mwanzo kuachana na vee? Had kuombana radhi fiesta 2017 km sio 2018, moro na Dar??
Bas walishare bwana kutoka mjengoni.
 
Aiseee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumempakazia naniii?? Unawashwaaa au?
Kwemaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann lakinii??
 
Huyo dada nakumbuka aligombea ubunge hapa Korogwe mwaka 2015 kupitia tiketi ya chama cha ACT wazalendo.Ndo nimemsikia tena leo,kumbe yuko nyuma ya nondo....?
Aisee.
 
Mhhhhhhh hii ni mpya kwangu!

Huyo bongo movie mwenye duka la nguo mwenye bifu sijafungua code yake...

Kumbe shangazi alikuwa hot cake? Tutafute hela jamani!
Shangazi hata meno mdomoni hana [emoji38] [emoji38]

[emoji16][emoji16] Eti hata meno mdomoni hana.
Chezea pesa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…