Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Hizo ndio lobbying, Unakaa na matajiri ili uwe tajiri

Mtu ambaye anaona jamaa hastahili kuishi kwenye apartment nzuri, kuendesha gari nzuri na kuvaa vizuri kwa sababu hajatoa nyimbo. Atakuwa hajui hizo issue za ommy zinaweza muingizia kiasi gani
Watu wanajua sana km dimp ana mambo nje ya music, na anaingiza pesa, ila haitoi ukweli yeye ni GAY, Kwan Gays wote hawana mipango yao ya kupata maokoto? Nweiii chanzo cha yeye kupata deals na sytem kwa matajiri n nn?

Tusisemee ukweliii? Au wee ni shabikii akee ko hutak kukubalii ukwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama sio mods kutupoozesha kutwa nzima ya leo tungekuwa mbali sana, na ningeshawaletea ubuyu mwingine wa Mange na Kinje walivyochambana usiku wa kuamkia leo.
Yani wamechambanaaaa [emoji1487][emoji1487]

Huyo mlamba midomo yeye huwa anawala wenzie na rafiki yake yule jamaa kutokea Singida.
Ndio story yao kubwa inayofahamika.
Jux analiwa na boss pale kwa hotel iliyo pembezoni na bahari, tena sio yeye had rafik ake wa pemba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unajua kisa cha mwanzo kuachana na vee? Had kuombana radhi fiesta 2017 km sio 2018, moro na Dar??
Bas walishare bwana kutoka mjengoni.
 
View attachment 2851623

Mafanikio ni mafanikio, haijalishi njia zilizotumika kuyafikia… mwisho yataitwa mafanikio bila kujali kama ni kwa njia halali au kupitia njia haramu.
Na daima mafanikio hutukuzwa, na waliofanikiwa hupewa heshima!

Muigizaji mkongwe, mfanyabiashara na mshereheshaji maarufu Mahsein Awadhi ‘Dr. Cheni’ yeye mafanikio yake yamepitia kwa mwanamke, ndio vijana huita mishangazi!

Si huwa wanasema mwanaume aliyefanikiwa nyuma yake kuna mwanamke? Ndivyo ilivyokuwa kwa Dr. Cheni… mwanamke aliyekuwa katika mafaniko yake sio mwanamke wa mchezo mchezo, ni mwanamke wa shoka kwelikweli!
Ukisikia mabalaa yake utabaki mdomo wazi, sio mwanamke, ni chuma!

NI SALMA MTAMBO!

View attachment 2851628
Bibie Salma Mtambo ni tapeli wa kupindukia. Akitapeli vijana kwa wazee, wanaume kwa wanawake.
Utapeli wa magari na kughushi nyaraka kwake ni jambo dogo na la kawaida kama kufumba na kufumbua macho!

Licha ya yote hayo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
Bibie alikufa na kuoza kwa Dr. Cheni! Nini hakumpa Dr. Cheni? Mapenzi alimpa na mtaji wa biashara ya magari ambayo imemtajirisha sana Dr. Cheni alimpa yeye!
Kifedha na kwa kumpa baadhi ya magari yake mengi yaliyopatikana katika utapeli wake aanzie biashara hiyo.

Licha ya tofauti kubwa iliyokuwepo baina yao kiumri, haikuweza kuzuia mapenzi hayo mazito baina yao.
Kila mmoja akinufaika kwa namna yake, kimapenzi na kifedha!
Mapenzi yao yalikuwa mazito na yaliyojaa kufuru ya hela kutokana na utajiri wa kupindukia wa Salma!

ZA MWIZI AROBAINI…
Hakuna marefu yasiyo na ncha! Penzi la Dr. Cheni na ‘rich auntie’ Salma liliingia mdudu mara baada ya mfululizo wa kesi zilizomuandama Salma kutokana na ‘mission’ zake zilizomuweka mjini na kumpa heshima kubwa kutokana na ukwasi aliokuwa akiumiliki.

Ifahamike kwamba, utapeli wa Salma ulianzia miaka ya 90! Hivyo alikuwa na ‘Misala’ kibao!

Tamati ilifikia September 18 mwaka 2019 alipohukumiwa miaka 99 jela baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka 17 ikiwemo kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu!

SALMA ALIA GEREZANI!
Baada ya Salma kupewa hukumu hiyo Dr. Cheni alipotelea kusikojulikana na Salma! Hakuwahi kuonekana kokote wala kumtembelea gerezani!

Salma anaumia zaidi kwa kuona kijana aliyempenda kwa moyo wote na kumpa kila kitu ikiwemo kushiriki katika ujenzi wa jumba la kifahari la Dr. Cheni akimtelekeza wakati alipokumbwa na matatizo!

Lakini, kesi za Salma ni mbaya na ni hatari zaidi kwa mtu maarufu na sasa mfanyabiashara mkubwa kujihusisha nae moja kwa moja.
Pengine ndio maana Dr. Cheni ameamua ‘kula kona’.

Lakini, kama ilivyo ada ya muosha huoshwa na mshahara wa dhambi ni mauti… ndiyo yanayomsibu Salma!

Ni yuleyule ripota kutokea JF mwenye chanzo chake nyeti…

Nawatakia sikukuu njema ya Krismasi,

Nifah

Nimeambatanisha baadhi ya nyaraka za kesi zilizokuwa zikimkabili Salma Mtambo.

View attachment 2852178
View attachment 2852179

Na hii

View attachment 2852170
View attachment 2852171
Aiseee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama mngekuwa mnatumia majina yenu halisi mngeweza kubully na kudharirisha watu humu kwa kinachoitwa Ubuyu. Ubuyu mzuri ni kwa mwenzako ila usikuguse wewe. Heshimuni wenzenu na acheni kupakazia watu ushoga na usagaji. Kama nyie akina cocastic ndio mashoga sio vyema kila mtu kumuita na kumpakazia ushoga. Tumieni majina yenu halisi tuone kama mnaweza kuandika hizi nyuzi za kipuuzi za kudharirisha utu wa wenzenu.
Tumempakazia naniii?? Unawashwaaa au?
Kwemaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukishazushia wenzako mashoga wewe itakusaidia nini? Acha hizi tabia sio nzuri, mnadharirisha wenzenu bila sababu. Mwenzenu warumi sasa anagonhwa Makenzie na mapepo sasa huku kuzimu alipo kwa huu upuuzi aliokiwa anazushia wenzie huku yeye kafa kwa Kansa mk...... tokana na ushoga wake. Acheni hizi tabia. Hao mnaowazushia wana ndugu na familia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann lakinii??
 
Huyo dada nakumbuka aligombea ubunge hapa Korogwe mwaka 2015 kupitia tiketi ya chama cha ACT wazalendo.Ndo nimemsikia tena leo,kumbe yuko nyuma ya nondo....?
Aisee.
 
Mhhhhhhh hii ni mpya kwangu!

Huyo bongo movie mwenye duka la nguo mwenye bifu sijafungua code yake...

Kumbe shangazi alikuwa hot cake? Tutafute hela jamani!
Shangazi hata meno mdomoni hana [emoji38] [emoji38]

[emoji16][emoji16] Eti hata meno mdomoni hana.
Chezea pesa wewe
 
Back
Top Bottom