Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Majani alimaindi sana,,,,,,,BOSI KUBWA ALIMPOTEZA PIA MWANA CHEMBA KUA TEJA.. !!!!
Hivi isssue ya bashite kuvamia kule ulidhani alikua anatania????
Anajua alichokua anakifanya...
NB: kigogo""P"" siwezi kufungua code zaidi,,,,,itifaki inazingatiwa madam 🀣🀣🀣
 
Mi hawa mashangazi sijui kama nitawaweza yaani mi bila kuwa na hisia na mwanamke siwezi kufanya nae chochote na nikijilazimisha basi baada ya hapo ntaenda kuoga maji lita 300 au kama ni mashuka ya ghetto nitaamka niyafue hata kama ni usiku wa manane
Wewe huna shida ya hela! Waliojipindia wako tayari hata kugongwa, sembuse kugonga lishangazi, hiyo si kama kunywa maji.
 
Kaka kule dar asilimia 45 % ya wanaume kule dar wanatia wasiwasi
 
Mbona Mange anadai Mwana chemba alipotezwa na yule kitukuu wa kiongozi wa maji2 ya Songea? πŸ˜†πŸ˜†

Huyo Kigogo ngoja kubwa langu la maadui lije, code itavunjwa hiyo.
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bosi kubwa alimfanya cow bo.....!!!
Kua teja!!!
Lakini issue ya kifo sijui bro alikua amebeba mzigo wa nani.....
Hilo swali tumuulize M to the P!!!
Kwamba ndio vile alikuwa anawapoteza kwenye game ndio stress akatumia madawa au alimfanya punda?

Mange anadai mzigo wa mwisho uliomuua ulikuwa wa kitukuu.
 
Mkuu "Sio Real"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…