Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Majani alimaindi sana,,,,,,,BOSI KUBWA ALIMPOTEZA PIA MWANA CHEMBA KUA TEJA.. !!!!Eeeeeh bwana eeeh!
Hapo kwa mtoto wa Kigogo code imenishinda kabisa, sijui sababu kichwa changu hakiko sawa?
Legeza basi kidogo na wewe...
Halafu huyo boss aliyegombana na Majani ni yule aliyetangulia? Hivi ujue huwa siamini kama nae alikuwa anafanya mishe za poda? Alikuwa smart sana kufanya hayo!
Niffah acha umbea π€£π€£π€£πππHivi wewe? Wooote umesema vipi yule bwana mitindo mwenye jishangazi la bongo movie?
Nae huwa nasikia sana ana hayo mambo, hadi Mange huwa anasema mara nyingi.
Mi huwa siamini, sema chochote.
Wewe huna shida ya hela! Waliojipindia wako tayari hata kugongwa, sembuse kugonga lishangazi, hiyo si kama kunywa maji.Mi hawa mashangazi sijui kama nitawaweza yaani mi bila kuwa na hisia na mwanamke siwezi kufanya nae chochote na nikijilazimisha basi baada ya hapo ntaenda kuoga maji lita 300 au kama ni mashuka ya ghetto nitaamka niyafue hata kama ni usiku wa manane
Kaka kule dar asilimia 45 % ya wanaume kule dar wanatia wasiwasiKwa sababu mnaumiza watu kwa kuwazushia ushoga. Hili linaumiza sana. Hii bullying yenu sio jzuri. Ningekuwa mmojawapo ninayezushiwa hakika ningeipeleka JF mahakamani kwa kesi ya "defamation" na ningehitaji billions of money pia wanisafishe. Acheni huu upuuzi wa kuzushia watu.
Imekuuma ya Warumi, sasa kafaidika nini na kuumiza na kuzushia watu. Muda alioutumia kuzushia na kuumiza wengine si bora angeutumia kutengeneza na Mungu wake? Sasa anakula Mbaranga na makwenzi toka kwa mapepo huku alipo. Anavuna alichopanda. Bado nawe siku yako yaja usipobadilika na kutengeneza na Mungu wako. We kila mtu ni shoga huko Daslama. Yaani kuvulowa uanaume kwako no kotu kidogo tu haya Simi inamvua mtu uanaume huko Daslama.
Badilikeni hii haisaidii zaidi ya kuumiza. Katika jamii zetu za kiafrika ni bora umzushie mtu mwizi, mvuta bangi au anauza madawa ya kulevya ila sio ushoga. Ni fedheha kubwa katika jamii.
Mbona Mange anadai Mwana chemba alipotezwa na yule kitukuu wa kiongozi wa maji2 ya Songea? ππMajani alimaindi sana,,,,,,,BOSI KUBWA ALIMPOTEZA PIA MWANA CHEMBA KUA TEJA.. !!!!
Hivi isssue ya bashite kuvamia kule ulidhani alikua anatania????
Anajua alichokua anakifanya...
NB: kigogo""P"" siwezi kufungua code zaidi,,,,,itifaki inazingatiwa madam π€£π€£π€£
π€£π€£π€£ππKwa sababu mnaumiza watu kwa kuwazushia ushoga. Hili linaumiza sana. Hii bullying yenu sio jzuri. Ningekuwa mmojawapo ninayezushiwa hakika ningeipeleka JF mahakamani kwa kesi ya "defamation" na ningehitaji billions of money pia wanisafishe. Acheni huu upuuzi wa kuzushia watu.
Imekuuma ya Warumi, sasa kafaidika nini na kuumiza na kuzushia watu. Muda alioutumia kuzushia na kuumiza wengine si bora angeutumia kutengeneza na Mungu wake? Sasa anakula Mbaranga na makwenzi toka kwa mapepo huku alipo. Anavuna alichopanda. Bado nawe siku yako yaja usipobadilika na kutengeneza na Mungu wako. We kila mtu ni shoga huko Daslama. Yaani kuvulowa uanaume kwako no kotu kidogo tu haya Simi inamvua mtu uanaume huko Daslama.
Badilikeni hii haisaidii zaidi ya kuumiza. Katika jamii zetu za kiafrika ni bora umzushie mtu mwizi, mvuta bangi au anauza madawa ya kulevya ila sio ushoga. Ni fedheha kubwa katika jamii.
Kwamba ndio vile alikuwa anawapoteza kwenye game ndio stress akatumia madawa au alimfanya punda?Bosi kubwa alimfanya cow bo.....!!!
Kua teja!!!
Lakini issue ya kifo sijui bro alikua amebeba mzigo wa nani.....
Hilo swali tumuulize M to the P!!!
Bosi kubwa alimfanya kontena...Kwamba ndio vile alikuwa anawapoteza kwenye game ndio stress akatumia madawa au alimfanya punda?
Mange anadai mzigo wa mwisho uliomuua ulikuwa wa kitukuu.
Code muhimuWe niambie bwana...
Nimekusoma,,,,,nitakujuza ucjaliSi unaona nimekuuliza kwa code? Wanamitindo wako wengi na mishangazi ya bongo movie iko mingi π
Hi account inatumiwa na watu tofauti, so yamkini Leo unachat na naniHivi wewe ni Me au Ke? Nashindwa kuelewa jinsi ya kukuadress.
Samahani lakini...
Mjini pagumu sana, anavyomsifiaga mkewe vile aiseeMwenzangu!
Ila huyo kusema za ukweli nimekuwa nikisikia sana hizo tuhuma juu yake, hii sio mara ya kwanza.
Si wanadai mkewe alifuma text zake na wanaume wenzie ndio chanzo cha ndoa kuingia mdudu?
Ishi ki master, JF mambo ni vuruguvurugu TUHi account inatumiwa na watu tofauti, so yamkini Leo unachat na nani
Mkuu "Sio Real"Kama sio mods kutupoozesha kutwa nzima ya leo tungekuwa mbali sana, na ningeshawaletea ubuyu mwingine wa Mange na Kinje walivyochambana usiku wa kuamkia leo.
Yani wamechambanaaaa ππΎππΎ
Huyo mlamba midomo yeye huwa anawala wenzie na rafiki yake yule jamaa kutokea Singida.
Ndio story yao kubwa inayofahamika.