Mwanamke huyu ni "Stalker"

Itakuwa bwanaako katakwa..!!
Anyway, jamaa kaoa? jamaa ana mchumba?
 
Amtukane
 
Ingekuwa wa kwangu kwani shida iko wapi? Ningeandika tu
Tukio lenyewe lilitokea miaka mingi nyuma hata hiyo mitandao ilikuwa ni shida.

Depal unadhani mwaka 2010 kulikuwa na hayo ya kublock? mImi sikumbuki kwa kweli
Mmh
 
Puchuu
 
Hiyo saa 10 alfajiri unakuwa wapi hadi kuyqjua hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…