Mwanamke huyu wa Tabora ana nini?

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini?

Financial Freedom

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
1,246
Reaction score
2,299
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.

Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.

Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe😁.

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
 
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.

Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.

Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe😁.

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
😀😀mshauri azungumze na bwana Laizer amuulize amewezaje kuishi na wanawake wanne bila kushikiana mishale.


Mahusiano!!!mahusiano!!!mahusiano
 
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.

Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.

Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe[emoji16].

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
Askari uyo bastola aliitoa wapi?
 
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.

Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.

Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe[emoji16].

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
Unataka ukweli? Malalamiko hayo ni ya kawaida sana kwa Tabora. Tatizo? Wanawake wa Tabora ni weprsi wa kukimbilia kwa waganga wa kienyeji lijapo suala la mapenzi. Watumishi wengi wameumizwa na familia nyingi zimeteseka kutokana na tatizo hilo.

Inaonekana waganga wa Tbr ni wajuzi mno wa dawa za mapenzi.

Been there, seen it all. Thanks
 
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.

Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.

Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe😁.

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
Ngoja ukutwe na mzee wa toronto...agrey mwanry alfu ulelaulelaa, naona unamletea hekaya za abunuasi na essopo.
Utasukumwa ndani usionekane tenaa
 
Unataka ukweli? Malalamiko hayo ni ya kawaida sana kwa Tabora. Tatizo? Wanawake wa Tabora ni weprsi wa kukimbilia kwa waganga wa kienyeji lijapo suala la mapenzi. Watumishi wengi wameumizwa na familia nyingi zimeteseka kutokana na tatizo hilo.

Inaonekana waganga wa Tbr ni wajuzi mno wa dawa za mapenzi.

Been there, seen it all. Thanks
Mimi pia nimeishi maeneo hayo. Wanawake wa Tabora huwa wana sifa ya "utekaji" na wakishakuteka unasahau kila kitu kuanzia familia, ndugu, jamaa na marafiki. Hata ulikotoka nako unapasahau mazima.
 
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.

Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.

Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe[emoji16].

Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
Huyo ndugu yako labda atakua mgambo sio mwanajeshi
 
Back
Top Bottom