Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuliza sio ujinga BossTafuta mali zako achana na bro!
private wa kawaida anapata wapi bastola?Ni askari cheo cha private tu wa kawaida
Kuuliza sio ujinga Boss
Bro wangu hanihusu wala siafatilii mali zake ila nashangaa tu anashindwa hata kupokea wala kuwapigia simu za wazazi waliomsomesha .Akija home anawapa elfu kumi tu eti..
Daah,kanasa tayari huyo na hatoki bila nguvu ya ziada,mwanamke alichofanya ni kua kila jamaa akikutana nae kimwili anamfuta uume na kitambaa kisha anakifanyia mambo katika chungu,nina washkaji zangu 3,mmoja soldier alichukuliwa na ndugu zake baada ya kuweka kuweka bunduki chini na kazi aliacha..,huyu mwingine majuzi tuu ndo kapona nakutoka kwa mchepuko akarudi kwa mkewe(Huyu tiba ilipatikana Kigoma bila yeye kujua,mwanafamilia mmoja alijiongeza).Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.
Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.
Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe😁.
Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
Familia inahisi hivyo maana kabadilika ghafla na huyo mwanamke wa Tabora
Daah,kanasa tayari huyo na hatoki bila nguvu ya ziada,mwanamke alichofanya ni kua kila jamaa akikutana nae kimwili anamfuta uume na kitambaa kisha anakifanyia mambo katika chungu,nina washkaji zangu 3,mmoja soldier alichukuliwa na ndugu zake baada ya kuweka kuweka bunduki chini na kazi aliacha..,huyu mwingine majuzi tuu ndo kapona nakutoka kwa mchepuko akarudi kwa mkewe(Huyu tiba ilipatikana Kigoma bila yeye kujua,mwanafamilia mmoja alijiongeza).
Wa 3. naomba nisiseme(inasikitisha sana).
NB:
Mambo ya Giza yapo,na wadada wa Tabora wanashika sana watumishi...,ukishindwa kabisa kuvumilia hakikisha haufutwi dushe na chochote(khanga,mtandio,taulo lake,kitambaa chake etc).
Wana nin MkuuHapa Tabora kuna maeneo ya chechem,mwanza rodi,kiloleni na ng'ambo.ukipata mwanamke hayo maeneo,jipange,hasa chemchem.
Ila mzee pale Mwanza-road ni balaa kuliko chemchem....wale wanakuroga siku hiyo hyo umemtongoza....Hapa Tabora kuna maeneo ya chechem,mwanza rodi,kiloleni na ng'ambo.ukipata mwanamke hayo maeneo,jipange,hasa chemchem.
Hawafai kabisa,ukimtongoza piga mluzi,utasikia "wee kaaka mbona unaita manyooka",kimbia mazeeIla mzee pale Mwanza-road ni balaa kuliko chemchem....wale wanakuroga siku hiyo hyo umemtongoza....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] kweli we umekaa hiyo mitaaHawafai kabisa,ukimtongoza piga mluzi,utasikia "wee kaaka mbona unaita manyooka",kimbia mazee
Hahah kwanin ukimbie MkuuHawafai kabisa,ukimtongoza piga mluzi,utasikia "wee kaaka mbona unaita manyooka",kimbia mazee
Wanyamwez kaka acha kabisa, wanajua mapenzi,alafu wanaroga ukijichanganya,pia ni wazuri mno,warefu,wamejazia,shape balaa!karibu mkuu kwa wanyamwez.Wana nin Mkuu
Ahsante ila mimi nilishanasa Dodoma...Wanyamwez kaka acha kabisa, wanajua mapenzi,alafu wanaroga ukijichanganya,pia ni wazuri mno,warefu,wamejazia,shape balaa!karibu mkuu kwa wanyamwez.
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]Hawafai kabisa,ukimtongoza piga mluzi,utasikia "wee kaaka mbona unaita manyooka",kimbia mazee
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.
Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.
Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe😁.
Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake