Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,246
- 2,299
- Thread starter
-
- #21
Familia inahisi hivyo maana kabadilika ghafla na huyo mwanamke wa TaboraMimi pia nimeishi maeneo hayo. Wanawake wa Tabora huwa wana sifa ya "utekaji" na wakishakuteka unasahau kila kitu kuanzia familia, ndugu, jamaa na marafiki. Hata ulikotoka nako unapasahau mazima.
Mkuu mbona ni hatari sana kama ikitokea hiyo,kwahiyo bora tumuache huko, huyo mke wake anaweza akamuongezea dozi ya dawa juu kwa juu bila kuexpayaHuyo keshalishwa nyama iliyovundikwa kwenye papuchi kwa siku saba, ni vigumu sana kumtoa huko subirini tu dawa zitaeksipaya zenyewe wataalam wa Tabora ni wazuri sana wa hiyo fani, huyo ndugu yenu hata akipata uhamisho wa lazima itakuwa ngumu mno kumtoa huko, anaweza akachagua kufanya jambo moja kati ya haya mwili;
1~ Kuacha kazi na kutorokea kusikojulikana
2~ Kujipiga risasi/kujinyonga.
Mkuu mbona ni hatari sana kama ikitokea hiyo,kwahiyo bora tumuache huko, huyo mke wake anaweza akamuongezea dozi ya dawa juu kwa juu bila kuexpaya
[emoji3][emoji3]Umbea utakuja kuwaua
Habari za muda huu Wakuu wa MMU, naandika kwa huzuni uzi huu kisa ni hiki.
Kaka wa rafiki yangu ni mwanajeshi kituo cha kazi ni Tabora, hana maelewano na ndugu zake yaani rafiki yangu pia na wazazi wake kisa ni mke wake waliyezaa nae watoto wawili.
Tangu ahamishiwe kituo cha kazi Tabora kutoka Mwanza na kumpata huyo mwanamke mambo yote ndo yakaanzia hapo mpaka kufikia hatua ya kumwekea bastola mdogo wake kichwani alipomsema vibaya huyo mkewe😁.
Mwanamke huyu wa Tabora ana nini? Mnatenganisha mtu,familia na wazazi wake
Ni hatare sana maana familiya haina amani juu yakeNimeishi sana Tabora, na napajua vizuri tu. Wanawake wengi wa Tabora wanajua sana mapenzi na ni wasafi mno, lakini pamoja na hayo yote wengi wao hawana kipato au kazi za kueleweka kwa hyo maisha yao mengi yanaendeshwa kutokana na kuhudumiwa na mwanaume aliyenaye.....wana uaminifu wa kuwa na mwanaume mmoja sio wasumbufu sana kwenye mapenzi katika kuwapata, na wana adabu sana mbele ya mwanaume. Tatizo lao kuu ni wanajua kung'ang'ania mwanaume haswaa, na kwenye kung'ang'ania huko ni lazima aende kwa Mganga. Na asilimia kubwa ya waganga wa Tabora sio matapeli, akimpa dawa huwa inafanya kazi kweli, na dawa za waganga wa Tabora ni very cheap ziko hata za buku 1 mpaka buku 5.... ndugu yenu katengenezwa na hapo hamumchomoi kirahisi, na mkilazimisha aachane na huyo mwanamke basi ni rahisi kwa huyo mwanaume hata kujiua au kuwapotezea nyie ndugu zenu mazima.....
Mzee mchawi pesaMbona mimi sipati mwanamke wa kuning’ang’ania, itakuwa kuna vitu nafeli sana..!!
Mzee mchawi pesa
Shombe shombe hivi ila elimu ndogo na ulimbukeni mjiniWanawake wa kinyamwezi ni warembo sana na wanajua mapenzi hasa. Na ndo wanaongoza hapa bongo
Mfano Wema Sepetu, Shishi Baby, Hamisa mobeto..nk
Status ya baka baka na hela ya pombe ile 100k ya mwezi hahahKwahiyo huyo ‘mwanajeshi’ anazo pesa.?
Ebu sema kuhusu hawa wanawake wa machame bro wangu naye kaoa mmachame analeta mambo kama ya huyu mjeda wanayemlalamikia Mkuu .Ebu funguka hapawala huyo mwanamke siyo mzaliwa wa mboka bali anatokea machame
Ebu sema kuhusu hawa wanawake wa machame bro wangu naye kaoa mmachame analeta mambo kama ya huyu mjeda wanayemlalamikia Mkuu .Ebu funguka hapa