Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
- Thread starter
-
- #21
Mkuu shukuru sanaAisee labda huko kwingine, mwanamke wa kitanga hata ukimkojoza lazima akushukuru, akusifie, akupanguse na taulo lililo loweshwa na maji ya Moto.
TANGA sihami.
kweli mtoto mzuri sikukuu leo unaenda wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiniambiee
kweli nimekuelewa tunafanyaje sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em apia!
Sema nikupe km unataka kwani haijaingia nipake tena?Basi sawaah,
Kuna watu watasema Tafuta hela...Lakini umesema ukweli huyo kama sio mkeo usimpe tenaYani wanawake wengine sijui wapoje yani mwanaume anajipinda anakufanyia kitu
Lakini kusema asante tu ni shida.
Hii kitu inapunguza sana morali ya kuwafanyie vitu
Vizuri maana mtu hana shukuraani ya nini umsumbukie?
Na leo sitoi hela ya SIKUKUU sasa jitu zima halina
Shukrani. *****.
We TANGA acha tu.Mkuu shukuru sana
Mtaani kuswampaaa!!!kweli mtoto mzuri sikukuu leo unaenda wapi?
ukowapi kwaniMtaani kuswampaaa!!!
Unapenda sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii
MnoooUnapenda sana
kunamuhuni hapo juu kaniambia kumbe uongo?Sema kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inauma sana mkuuNimependa ulivyomalizia🤣
Pole ila mpe tu hela ya sikukuuInauma sana mkuu
😂We zombiiikwaninii mkuu?mbona huyu binti mdogo namshamba tuu unaweza kumuinamisha hata vichakani
haujuiii😂We zombiii