Mwanamke jifunze uikalia pichu yako.

Mwanamke jifunze uikalia pichu yako.

Mwanamke afiche siri, amerogwa? Utamla uroda mke wa mtu na kuahaidiana msiwaambie watu iwe siri yenu tu....utashangaa ukipita mtaani kila mdada anafungua dirisha kukuangalia na kukuhamkia huku akitabasamu (anakutega ili ummege na yeye).
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu umenichekesha mnooo 😅😅😅😅😅
 
Ni ushauri mzuri. Ila uanaume wa mtu haupimwi kutokana na wingi wa vimada alivyonavyo. Uanaume wa mtu unapimwa kutokana na ujasiri na kuamua kutulia na mkewe..

Ni kutulia tu, Adam alitulia kwa Hawwa
Lakini hawa alishindwa kutulia na adam, akamsikiliza nyoka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejikuta nakuelewa tu. Na hii huenda ikakoma endapo watu watajua madhara ya kuhadithia hadithia hovyo siri za ndani.

Wanasemaga saa nyingine vipo ambavyo vikitolewa ahueni ya moyo huwa inapatikana na kama ni hivyo nadhani kikubwa ni kuangalia na wa kumwambia sababu si kila mtu anaambilika.
 
Ungekuwa huna Mume, ungestahili ndoa haraka sana kwa speed ya SGR
 
Inakuwa hivi, umesikia tetesi kuwa mume ana mchepuko, mwanaume huyu mlioana akiwa anamiliki baiskeli na anaishi kwenye chumba. Wazazi pia walimuona he is just a waste of space lakini ulimpenda sana mpaka wazazi waliruhusu ndoa.

Baada ya harusi ulitaka kuwanyamazisha midomo wale waliokuona umeolewa na apeche alolo. Zile hela za field ulishea chumba na mtu ulihakikisha zimebaki na umeweza kununu kiwanja.

Hubby nae alikupiga tough, nyumba ya nyuma imekwisha yenye vyumba vitatu vya kulala na mmezungushia fence eneo lote sasa mko kwenu.

Leo hubby amerudi asubuhi, kimekuuma umemhadithia shoga Kidawa. Shoga amekupa pole na jioni amemhadithia binamu yako Irene. Irene ameyafikisha kwa mama yako. Wote wanaona umeenda kumnufaisha huyu mwanaume.

Vikao vya familia vimeanza, wanashauri uondoke kabla hajakuletea maradhi.

Haya ni mambo ambayo mgeweza kuyaliza wenyewe. Sasa una hasira na shost Kidawa. Kidawa angeyajuaje kama usingemwambia!

Matatizo yako shost ni pichu yako haitakiwi kuonekana na mwingine zaidi ya mume wako.
Una point sana dada mkuu, sisemei michepuko ila inaudhi sana ukaenda kusikia vitu vya ndani huko nje. Mfano huyo aliyeenda kutangaza mume anamchiti, na mmewe akijitetea huko huko nje kwamba mkewe si msafi hamvutii itakuwaje?
 
Una point sana dada mkuu, sisemei michepuko ila inaudhi sana ukaenda kusikia vitu vya ndani huko nje. Mfano huyo aliyeenda kutangaza mume anamchiti, na mmewe akijitetea huko huko nje kwamba mkewe si msafi hamvutii itakuwaje?
Na wazazi wa mke hawaelewi mchango wa jamaa katika maisha ya binti yao. Hali ya furaha wanayomuona nayo ni kutokana na care ya anayopata ambayo no money can buy
 
Inakuwa hivi, umesikia tetesi kuwa mume ana mchepuko, mwanaume huyu mlioana akiwa anamiliki baiskeli na anaishi kwenye chumba. Wazazi pia walimuona he is just a waste of space lakini ulimpenda sana mpaka wazazi waliruhusu ndoa.

Baada ya harusi ulitaka kuwanyamazisha midomo wale waliokuona umeolewa na apeche alolo. Zile hela za field ulishea chumba na mtu ulihakikisha zimebaki na umeweza kununu kiwanja.

Hubby nae alikupiga tough, nyumba ya nyuma imekwisha yenye vyumba vitatu vya kulala na mmezungushia fence eneo lote sasa mko kwenu.

Leo hubby amerudi asubuhi, kimekuuma umemhadithia shoga Kidawa. Shoga amekupa pole na jioni amemhadithia binamu yako Irene. Irene ameyafikisha kwa mama yako. Wote wanaona umeenda kumnufaisha huyu mwanaume.

Vikao vya familia vimeanza, wanashauri uondoke kabla hajakuletea maradhi.

Haya ni mambo ambayo mgeweza kuyamaliza wenyewe. Sasa una hasira na shost Kidawa. Kidawa angeyajuaje kama usingemwambia!

Matatizo yako shost ni pichu yako haitakiwi kuonekana na mwingine zaidi ya mume wako.
Asanteeee mama!!!
Tufunde tufundike haswaaaa[emoji108][emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom