π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mkuu umenichekesha mnooo π π π π πMwanamke afiche siri, amerogwa? Utamla uroda mke wa mtu na kuahaidiana msiwaambie watu iwe siri yenu tu....utashangaa ukipita mtaani kila mdada anafungua dirisha kukuangalia na kukuhamkia huku akitabasamu (anakutega ili ummege na yeye).
Kweli kabisa yaaniUjumbe mzuri...sometime kukurupuka kushare matatizo ya ndani huwa kunaongeza ukubwa wa tatizo badala ya kulimaliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hawa alishindwa kutulia na adam, akamsikiliza nyoka!Ni ushauri mzuri. Ila uanaume wa mtu haupimwi kutokana na wingi wa vimada alivyonavyo. Uanaume wa mtu unapimwa kutokana na ujasiri na kuamua kutulia na mkewe..
Ni kutulia tu, Adam alitulia kwa Hawwa
Weekend imeanza? Alright....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Unafikiri ulivyowambia huu ukweli watajitokeza! Thubutuu'' hawapendi ukweli, wanawake akili zao wanazijua wao japo wataalam wanatuaminisha kua wana ubongo nusu Kilo, ila kimtazamo ni kama vile wanayo robo Kilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke afiche siri, amerogwa? Utamla uroda mke wa mtu na kuahaidiana msiwaambie watu iwe siri yenu tu....utashangaa ukipita mtaani kila mdada anafungua dirisha kukuangalia na kukuhamkia huku akitabasamu (anakutega ili ummege na yeye).
Una point sana dada mkuu, sisemei michepuko ila inaudhi sana ukaenda kusikia vitu vya ndani huko nje. Mfano huyo aliyeenda kutangaza mume anamchiti, na mmewe akijitetea huko huko nje kwamba mkewe si msafi hamvutii itakuwaje?Inakuwa hivi, umesikia tetesi kuwa mume ana mchepuko, mwanaume huyu mlioana akiwa anamiliki baiskeli na anaishi kwenye chumba. Wazazi pia walimuona he is just a waste of space lakini ulimpenda sana mpaka wazazi waliruhusu ndoa.
Baada ya harusi ulitaka kuwanyamazisha midomo wale waliokuona umeolewa na apeche alolo. Zile hela za field ulishea chumba na mtu ulihakikisha zimebaki na umeweza kununu kiwanja.
Hubby nae alikupiga tough, nyumba ya nyuma imekwisha yenye vyumba vitatu vya kulala na mmezungushia fence eneo lote sasa mko kwenu.
Leo hubby amerudi asubuhi, kimekuuma umemhadithia shoga Kidawa. Shoga amekupa pole na jioni amemhadithia binamu yako Irene. Irene ameyafikisha kwa mama yako. Wote wanaona umeenda kumnufaisha huyu mwanaume.
Vikao vya familia vimeanza, wanashauri uondoke kabla hajakuletea maradhi.
Haya ni mambo ambayo mgeweza kuyaliza wenyewe. Sasa una hasira na shost Kidawa. Kidawa angeyajuaje kama usingemwambia!
Matatizo yako shost ni pichu yako haitakiwi kuonekana na mwingine zaidi ya mume wako.
Na wazazi wa mke hawaelewi mchango wa jamaa katika maisha ya binti yao. Hali ya furaha wanayomuona nayo ni kutokana na care ya anayopata ambayo no money can buyUna point sana dada mkuu, sisemei michepuko ila inaudhi sana ukaenda kusikia vitu vya ndani huko nje. Mfano huyo aliyeenda kutangaza mume anamchiti, na mmewe akijitetea huko huko nje kwamba mkewe si msafi hamvutii itakuwaje?
Asanteeee mama!!!Inakuwa hivi, umesikia tetesi kuwa mume ana mchepuko, mwanaume huyu mlioana akiwa anamiliki baiskeli na anaishi kwenye chumba. Wazazi pia walimuona he is just a waste of space lakini ulimpenda sana mpaka wazazi waliruhusu ndoa.
Baada ya harusi ulitaka kuwanyamazisha midomo wale waliokuona umeolewa na apeche alolo. Zile hela za field ulishea chumba na mtu ulihakikisha zimebaki na umeweza kununu kiwanja.
Hubby nae alikupiga tough, nyumba ya nyuma imekwisha yenye vyumba vitatu vya kulala na mmezungushia fence eneo lote sasa mko kwenu.
Leo hubby amerudi asubuhi, kimekuuma umemhadithia shoga Kidawa. Shoga amekupa pole na jioni amemhadithia binamu yako Irene. Irene ameyafikisha kwa mama yako. Wote wanaona umeenda kumnufaisha huyu mwanaume.
Vikao vya familia vimeanza, wanashauri uondoke kabla hajakuletea maradhi.
Haya ni mambo ambayo mgeweza kuyamaliza wenyewe. Sasa una hasira na shost Kidawa. Kidawa angeyajuaje kama usingemwambia!
Matatizo yako shost ni pichu yako haitakiwi kuonekana na mwingine zaidi ya mume wako.
Ishanikuta hii.
Basi haters watabisha!