Mwanamke Jipende Natural Achia Misitu

Halafu Don mtu akilewa anayoyaongea yote inabidi umwamini sababu anaongea ukweli mtupu hahah umenichekesha hiyo ukinywa heineken

Umenikumbusha hapo kwenye kusema ukweli, shida ni pale unausema ukweli ambao hata hukutaka kuusema.

Unajikuta tu umeshasema.
 
Hvo vingine alikua sahihi Ila
Hapo kwenye kukata nywele
Hapana mwanamke nywele bhana
Huo ndo ureno wa girls
Unaona sasa. Wenzio wengine hata nywele hawataki
 
Ukisema iwe imevuka got
Yan iwe tu chin ya joint ya got
Hapo n sawa kabsa
Eeeh. Unavaa kimini waenda nacho club ama. Nguo fupi sana navaa ila weekend
 
Umenikumbusha hapo kwenye kusema ukweli, shida ni pale unausema ukweli ambao hata hukutaka kuusema.

Unajikuta tu umeshasema.
Hahahaha ndio pombe inavyokutuma sasa mwenyewe nikishalewa heineken zangu huwa naharibu sana kesho sasa zikiisha sasa
 
Future tutajua baadae
Uende kanisani wewe, mwanaume ana akili sana huyo. Mwanamke asiyependa kusali hawezi kuisimamia nyumba na ndoa yake(more often).

Unaona jamaa anakufosi lakini kumbe anafosi vitu vya msingi, badae usije kulaumu kuwa umekuwa fungu la kukosa while wewe ni mrembo/mzuri wa sura etc.
 
Unaona sasa. Wenzio wengine hata nywele hawataki
Hapana kwakweli me mwanamke
Cha Kwanza n nywele ndo naanzaga
nacho

Sasa mm n nyoe na wife anyoe huko
Ndan Sasa kuna mvuto gan
Naona Kama tunakaa tu madume
wote
 
Mke wangu upo humi ndani nadhani umeskia.....

nilikua najipanga nikwambie lakn naona hapa Mzigua mwenzangu amenisaidia kazi.....

sasa lile wigi lakp kama mchina mzee silitaki plus lile gauni lako la ajabu ajabu kama msimamiz wa harasi pia silitaki.
 
Baby wivu unamsumbua...

Yeye awe mpole utabadilika tu. Ila hata mimi nadhani pasingetosha, au kama vipi niwajue marafiki unaotoka nao angalau.
Sasa mimi namuaga. Na saa ingine namwambia njoo anakuja. Ila bado anasema nikae ndani. Na natokaga Friday tu nikitoka ofisini naunga mtaani. Juzi kanirudisha home saa 4 yani basi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…