DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .
Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.
Acha kulalamika.
Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza
Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
Mkuu sasa ndoa siku hizi ni sifa na kitu cha kujivunia?Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .
Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.
Acha kulalamika.
Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza
Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
Mkuu GT. Ndoa nyingi baada ya miaka miwili ni maigizo tu. Ukitaka kujua tabia ya mtu ishi naye. Mimi Mungu namshukuru yani kuna siku frying pan ilitupwa kwa kishindo ikanikosa kichwa na kugonga ukuta hadi kuacha nyufa. Ingenipata singepona na ningepona ningekuwa na a broken skull.Uzuri wa domo ili uweze kuufanyia marekebisho lazima uanzie katika ubongo sasa you can't pretend
Kilichojaa kichwani ndo utaongea tu
That is way wakiacha umbea, kufatilia trending wataanza kuzinoa bongo zao I'll wafikie hatua inayokubalika to be marriageable (kuoleka)
min -me
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .
Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.
Acha kulalamika.
Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza
Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully
Ni huzuni sanaHawa ndo waonataka kuolewa
Aisee πKushoto ni ambae hapendi umbea na yupo smarter , kulia ni mmbea na anaefuatilia ubuyu, kwa kweli nisiwe mnafki huyo wa ubuyu ndio changuo langu na katoka ubavuni mwangu kabisa πView attachment 2989979
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi .
Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending.
Acha kulalamika.
Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza
Rekebisheni mdomo , value man mtawpata na nyie muishi peacefully