Mwanamke kazima simu kisa mpango tulikuwa nayo mwezi huu

Mwanamke kazima simu kisa mpango tulikuwa nayo mwezi huu

mj909

Member
Joined
Aug 1, 2024
Posts
86
Reaction score
204
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kuna mpango tumepanga kila siku nikiongea nae namkumbusha. Sasa jana nime mkumbusha , akanikasirikia kabisa anasema ",nimeshaona kuwa siaminiki wewe mtu kila siku tunaongea mambo hayohayo lakini bado unanisisitizia kiasi ambacho naona kabisa huniamini kwa kinachoendelea sasa wewe utaamua wewe me nishachoka sasa nitatulia tuu.

Ilikua ni usiku nikamtumia sms hajibu nikipiga hapokei ilivyo fika asubuhi nikampigia akapokea alafu akakata simu akaandika sms "Niache nitulie kwanza nina hasira nisije nikakujibu vibaya" nika mpigia simu akakata akazima na simu kabisa hadi sasa.

Naombeni ushauri hivi itakua ni kwa sababu ya kumsisitizia tu au kutakua na kitu kingine hapa au anatafuta sababu ya kuniacha tu?
 
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kuna mpango tumepanga kila siku nikiongea nae namkumbusha.. Sasa jana nime mkumbusha ..akani kasirikia kabisa anasema ",nimeshaona kuwa siaminiki wewe mtu kila siku tunaongea mambo hayohayo lakini bado unanisisitizia kiasi ambacho naona kabisa huniamini kwa kinachoendelea sasa wewe utaamua wewe me nishachoka sasa nitatulia tuuuu" Ilikua niusiku nikamtumia sms hajibu nikipiga hapokei ilivyo fika asubuhi nikampigia akapokea alafu akakata simu akaandika sms "Niache nitulie kwanza nina hasira nisije nikakujibu vibaya" nika mpigia simu akakata akazima na simu kabisa hadi sasa...naombeni ushauri hivi itakua nikwa sababu ya kumsisitizia tu au kutakua nakitu kingine hapa au anatafuta sababu ya kuniacha tu?
 
Ina maana mpaka hapo hajaona kama amekujibu vibaya.

Mpotezee fanya mambo mengine kiongozi ikiwa ni pamoja na kutafuta mpenzi mwengine.

Kwenye ishu ya kuwa wapenzi mwanamke sio kiumbe cha kukibembeleza kikubali. Wapo wengi sana na kubembelezea mahusiano ni jukumu lao sio la mwanaume.
 
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kuna mpango tumepanga kila siku nikiongea nae namkumbusha. Sasa jana nime mkumbusha , akanikasirikia kabisa anasema ",nimeshaona kuwa siaminiki wewe mtu kila siku tunaongea mambo hayohayo lakini bado unanisisitizia kiasi ambacho naona kabisa huniamini kwa kinachoendelea sasa wewe utaamua wewe me nishachoka sasa nitatulia tuu.

Ilikua ni usiku nikamtumia sms hajibu nikipiga hapokei ilivyo fika asubuhi nikampigia akapokea alafu akakata simu akaandika sms "Niache nitulie kwanza nina hasira nisije nikakujibu vibaya" nika mpigia simu akakata akazima na simu kabisa hadi sasa.

Naombeni ushauri hivi itakua ni kwa sababu ya kumsisitizia tu au kutakua na kitu kingine hapa au anatafuta sababu ya kuniacha tu?
Inategemea jinsi ambavyo ulikua unamsisitiza... wengine ni wazaliwa wa kwanza kwao so hawajazoea kutreatiwa kitoto au wametokea kwenye familia ambazo zinawatreat kikubwa.

Jitahidi kusoma between the lines ili ujue aina ya mtu uliye nae.
 
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kuna mpango tumepanga kila siku nikiongea nae namkumbusha. Sasa jana nime mkumbusha , akanikasirikia kabisa anasema ",nimeshaona kuwa siaminiki wewe mtu kila siku tunaongea mambo hayohayo lakini bado unanisisitizia kiasi ambacho naona kabisa huniamini kwa kinachoendelea sasa wewe utaamua wewe me nishachoka sasa nitatulia tuu.

Ilikua ni usiku nikamtumia sms hajibu nikipiga hapokei ilivyo fika asubuhi nikampigia akapokea alafu akakata simu akaandika sms "Niache nitulie kwanza nina hasira nisije nikakujibu vibaya" nika mpigia simu akakata akazima na simu kabisa hadi sasa.

Naombeni ushauri hivi itakua ni kwa sababu ya kumsisitizia tu au kutakua na kitu kingine hapa au anatafuta sababu ya kuniacha tu?
acha gubu za kijinga
acha utoto
 
Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kuna mpango tumepanga kila siku nikiongea nae namkumbusha. Sasa jana nime mkumbusha , akanikasirikia kabisa anasema ",nimeshaona kuwa siaminiki wewe mtu kila siku tunaongea mambo hayohayo lakini bado unanisisitizia kiasi ambacho naona kabisa huniamini kwa kinachoendelea sasa wewe utaamua wewe me nishachoka sasa nitatulia tuu.

Ilikua ni usiku nikamtumia sms hajibu nikipiga hapokei ilivyo fika asubuhi nikampigia akapokea alafu akakata simu akaandika sms "Niache nitulie kwanza nina hasira nisije nikakujibu vibaya" nika mpigia simu akakata akazima na simu kabisa hadi sasa.

Naombeni ushauri hivi itakua ni kwa sababu ya kumsisitizia tu au kutakua na kitu kingine hapa au anatafuta sababu ya kuniacha tu?
si utemane naye kwani wanawake si wapo wengi unapenda ambapo upendeki tafuta mwanamke mwingine huyo ni kimeo kwako.
 
Achana na hiyo ng’ombe, mnajidhalilisha sana, unamlazimisha mwanamke mahusiano, hakutaki huyo anakufanyia vituko, nakwambia leo iwe ndio mara ya mwisho kumtafuta na kumpigia simu, be a man.
 
Back
Top Bottom