Ha ha ha.... Maneno mujarrabu kama alkasusuMkuu ushawahi kumwambia Come over mamy?
Sisi wanawake kiasili ni wafukuaji vitu, Ni ma-Tomb Raider wazuri tu.
Na hii inakuja pale unapo-notice viashiria sivyo ndivyo, unajikuta tu umejijengea hoja. Pia kwakua mmeshakua mwili mmoja basi huwaga tuna sense na 70% huwaga kweli!
- Jambo lingine ; Tunajuaga wanaume ni wadhaifu hawawezi kuishi bila mwanamke sasa anaona mzee umeuchuna na hauna sababu za kivile lazima ashtukie.
-Mkipendana viuchokozi vya kununa nuna ni ibada[emoji2] Bembeleza mamsapu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16]Siwezi acha kutoa kitu kilicho jeruhi moyo wangu na hivi vitu wanaume hupuuza lakini huua hisia za mapenzi na kubaki kuishi kimazoea tu.
Mlango huo unafungwaje mkuu[emoji120][emoji120][emoji120]Kuna mambo mawili Kaka.
Mkeo kalipiza kisasi sasa anadhani unaweza kufahamu sasa anaanza kupretend mapema ili akuvuruge uchanganyikiwe na usiweze kufuatilia kabisa .
Alipandwa na ngenye Kwa hiyo akikukumbuka anajikuta anataman awe na wewe. Lkn anaona uko mbali kiasi kuwa hawezi kinakuja kuumizwa Tu kwenye hisia zake
Mwanamke anamlango mkubwa Sana kiroho anaweza kuona, kujua kinachotikea anaweza kukutega na ukaingia kwenye mtego wake.
Mlango huo usipoufunga atakusumbua Sana
Ukitaka kujua nini anawaza, subiri simu yake ya kwanza kisha waza kinyume.Kuandika Uzi wa mapenzi asubuhi subuhi haimaanishi kwamba hatujengi Taifa. LAA!
Muhali gani wapendwa? Nawaombea muwe na afya njema.
Ni swali fupi tu
JE NINI KINAFANYA MTU KUFUKUA MAKABURI (MAMBO MAOVU) YA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NYUMA?
Mpenzi wangu na mama mtoto wangu ambaye yuko mbali na mimi kwa sasa, Jana tulijikuta katika malumbano makubwa baada ya yeye kuanza kuniuliza kuhusu mambo flani mabaya ambayo niliyafanya Miaka ya nyuma.
We nisikilize wanawake akili zetu hatuzielewi saa ingine leo kaza, Retreat , kesho attack with full force [emoji2][emoji2][emoji2]Ha ha ha.... Maneno mujarrabu kama alkasusu
Kabisa kabisa... Mda mwingine Wanawake kama Wana mapepo hivi[emoji16]We nisikilize wanawake akili zetu hatuzielewi saa ingine leo kaza, Retreat , kesho attack with full force [emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuleta mrejeshoKuandika Uzi wa mapenzi asubuhi subuhi haimaanishi kwamba hatujengi Taifa. LAA!
Muhali gani wapendwa? Nawaombea muwe na afya njema.
Ni swali fupi tu
JE NINI KINAFANYA MTU KUFUKUA MAKABURI (MAMBO MAOVU) YA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NYUMA?
Sio tu kirahisi, bali hayafutiki kamwe!Wanawake huwa hatusahau vitu vilivotuumiza hisia zetu kirahisi.
Ukielezea naomba na mimi unitag mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Tuombe uzima Mkuu!! Yaani aliset maisha yangu ktk default setting...
Mwanamke ni kiumbe hatari sana.
Sawa mkuuUsisahau kuleta mrejesho
Kama ninavyoishi Mimi na mke wangu kwa sasa ,yani bifu kila siku mambo ya 2011 hadi leo anayaleta,nashukuru sikai nae karibu manake amekua kero tu,tunalea watoto maisha yaendeSiwezi acha kutoa kitu kilicho jeruhi moyo wangu na hivi vitu wanaume hupuuza lakini huua hisia za mapenzi na kubaki kuishi kimazoea tu.
Dunia ina mambo aisee[emoji23]Kwanza nataka ujue kua uanamue ni kung'ang'ana. Hata kama umeshikwa na sms kataa sema siyo yako yaani hata iweje, na ndiyo maana wanaume tuna wale washkaji ambao likitokea la sms unasema hii ni ya fulani.
Na akipigiwa hakatai.
AaaaaaaaInabidi umuombe msamaha hukufanya vizuri kumkaripia.
Hahah kwamba kikiwaka tu anazima au me sijaelewa vyema?Wanawake ni wagumu sana kusahau matukio yakuwaumiza.
Uwe unalala na fire extinguisher... Utakuja kunishukuru.
Ndio maana mimi kuendelea na mtu aliyenikera to the maximum na kusababisha pain huwa nakata mawasiliano na kuishi naye siwezi kutonesha kidonda changu maumivu na trust ukiwa hamna ndio tena sitaki kabisa.Kama ninavyoishi Mimi na mke wangu kwa sasa ,yani bifu kila siku mambo ya 2011 hadi Leo anayaleta,nashukuru sikai nae karibu manake amekua kero tu,tunalea watoto maisha yaende
Huo ndo ukweliSio tu kirahisi, bali hayafutiki kamwe!