Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aksanta Sana nasi tunakuja huko mliko taratiiiibuHapo kwenye NB hapo sasa, inahitaji akili ya ziada kwa mwanaume bila kusahau inategemea na akili ya mwanamke, Asante kwa pongezi mkuu nimepokea
Hii ni kweli kabisaWanaume wao hu move on ila wanawake hubaki wakiumia ndani kwa ndani nakuendelea na huyo mtu nfano cheating mwanaume hakurudii ng'o
Wanawake huwa wanatenda vitu bila hata kufikiria ila sasa jinsi mwanaume atakavyodili na hivyo vituko ndio itaashiria kuwa ndoa ipo au itavunjikaTunapendaga kutikisa kiberiti na hii ni nature ya ke sasa wewe kitendo cha kulipuka ni ishara tosha kuna mambo bado unayaendekeza nikwambie tu kuna file jipya umelifungua
Kuandika Uzi wa mapenzi asubuhi subuhi haimaanishi kwamba hatujengi Taifa. LAA!
[emoji16][emoji16][emoji1][emoji1]Sharauti kwa Mzee wa kusawazisha hebu njoo Usawazishe Kasumba za mzee wa kasumba huku
Inaama mpaka tukija kuzeeka mambo ni Yale Yale daahHayo ndio maisha ya ndoa nakumbuka hata mama yangu alikuwa anamkumbushia baba yangu vitu vya nyuma ambavyo hata mimi nimesahau.
Ha ha ha mnatafuta Cha kuongea mnakosa. Mnaanza kufukunyuanaMadhara ya kuongea na simu usiku wa manane..mnaongea simu masaa mawili kila siku usiku mnadhani mtaongea nini zaidi ipo siku mtapalangana tu..
Ogopa Sana hiyo kitu
Yale yale tena ukitaka ukumbushiwe vizuri mnunulie dada yako kitu halafu hujalipa adaInaama mpaka tukija kuzeeka mambo ni Yale Yale daah
DUNIA hii??
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yale yale tena ukitaka ukumbushiwe vizuri mnunulie dada yako kitu halafu hujalipa ada
Kuandika Uzi wa mapenzi asubuhi subuhi haimaanishi kwamba hatujengi Taifa. LAA!
Muhali gani wapendwa? Nawaombea muwe na afya njema.
Ni swali fupi tu
JE NINI KINAFANYA MTU KUFUKUA MAKABURI (MAMBO MAOVU) YA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NYUMA?
Yale yale tena ukitaka ukumbushiwe vizuri mnunulie dada yako kitu halafu hujalipa ada