Mwanamke kufukua makaburi bila sababu inatokana na nini?

Mwanamke kufukua makaburi bila sababu inatokana na nini?

Hahaha nakumbuka wifi yangu alimwambia kaka wkti ni mgonjwa si uwafuate hao ndugu zako waku uguze maana wao si ulikuwa unawaona wa maana mimi ukaniona ni bwege mtozeni [emoji23][emoji23]
Daah sooo Sadi[emoji777]
 
Ni kawaida sana mtu kukumbuka matukio, maana vidonda hupona ila makovu wakati mwingine hayafutiki,

Inshu kubwa ungevunga tu kiume ukamwambia yamepita na na kumtaka radhi kidg walau yangeisha kwa Amani, maana wakati mwingine ni bora kuepusha malumbano, maana kama ni mke na uko mbali nae aisee sio nzuri kupishana kauli sababu anawezajikuta anauza mechi kwa boya anayem'bembelezaga
Saingine mwanamke anaanza visa visa akiwa tayari ana mtu wa kumkuna nje huko so hataki umguse siku hio! Anakunyoosha tu na makelele kukutoa kwenye raiti traki!
 
Siwezi acha kutoa kitu kilicho jeruhi moyo wangu na hivi vitu wanaume hupuuza lakini huua hisia za mapenzi na kubaki kuishi kimazoea tu.
Hahahahahah kwahio mambo yalishapita na mkasameheana ila bado una kisasi😅?

Hii inaonesha mume aliposafiri, huyu mwanamke ameshaanza kuliwa na muhuni flani na anamkojoza kweri kwerii hivyo jamaa amerudi ila mke hisia zishahamia mtaa wa pili so ameanzisha varangati sababu anajua fika jamaa ataomba game na yeye genye nae hana kabisa!

Hii michezo wandewa tu ndio tunaielewa.
 
Bado hujawajua wanawake vizuri Mkuu.

Wewe unadhani hata uamuzi wa kuchomana na petrol ni matokeo ya ugomvi wa muda huo huo?

Mimi nishawahi kupigwa tukio na mchepuko nilioachana nao karibu miaka miwili Nyuma, Tukio lilibadilisha Kila kitu kwenye maisha yangu mpaka leo bado sijacover damage za Hilo Tukio na unaenda mwaka wa 5 Sasa.

Toka anipige Tukio huyo Mchepuko, Nilimind sana, na mwezi mzima baada ya Tukio ningekutana nae huyo Mchepuko nadhani leo ningekua jela.. Nilipata hasira sijawahi kupata toka nipate akili.
Wanawake wanatunzaga visasi kichizi😅
 
Siwezi acha kutoa kitu kilicho jeruhi moyo wangu na hivi vitu wanaume hupuuza lakini huua hisia za mapenzi na kubaki kuishi kimazoea tu.

Yaani haya majeraha hayaponagi aisee. Yaan hayaishagi. Na huwa namsimuliaga partner wangu ila anaona kama vile namfanyia kusudi kumrusha roho ama kumuumiza kumbe hapana. Ni tahadhari nampa ili asije fanya alichonifanyia aliyepita. Unajua bwana, maumivu ya mapenzi hayazielekagi. Hata siku moja. Na kadiri unavyoexperience ndo yanachoma balaa.
 
Hello twin [emoji7]

Sent using Jamii Forums mobile app

He he he yaan hawaelewagi tukilalamika tunatama tufanyweje. Na wao wanaamsha popo. A man should be sweet and gentle bana. Nikianza kulalamika nibanie kifuani, kiss me, nipe hata story za bulicheka huko. Nibembelezee uone kama nna ujanja.

Ilaaa naapeendaaa kudeeeekaaaa mimi jamanaiiii[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] ujue rahaaa. Sasa mtoto wa kike usideke kuna raha gani zaidi tena hapa duniani
 
Back
Top Bottom