Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Ni la moto sio kidogo [emoji23]Ni noma sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni la moto sio kidogo [emoji23]Ni noma sana aisee
Ni apresiesheni mkuu.Hahaha we Mzee hivi SHARAUTI huwa ni salam au appreciation?
Shida sikuhizi upendo wa kweli hamna zaidi ya watu kupenda watu kulingangana na status au uchumi flani. But kuumizana hisia na kutaka kusamehewa huwa ni za wanaume wengi Yani huwa wanaona wao kukosea ruksaKumpata sasa huyo mwenye huruma akakuelewa ndo interview job kama ya CNN. Ni ngumu sana kukuelewa. Yaan havisahaulikagi hata kama tumesamehe. Very hard. Nina imani kuputia hii thread atleast wamepata ABCD kidogo.
Torture a woman physically and she will go ro hospital.
Torture her emotionally and see how things worsen.
Hilo kosa halisahauliki kamwe mimi nabaki tu ili watoto wakue basi tena heri kufanyia umalaya mbali na sio ndani hapo hapo hafu kirahisi huwa mnataka kusamehewa lohMim nilifumaniwa na wife nikiwa na dada wa kazi, yaani Nimemkunja chuma mboga napiga tako's zangu kiroho mbaya Sina hili wala lile.
Mara paaaah wife huyu hapa! alafu sasa, alijikausha kidogo akiangalia lile tukio. Sàsa kidume katika kuukamatia na kujipimia mzigo si ndo nikageuka? Laaa hawla, nakutana na wife Kawa mwekundu huku machozi yakibubujika.
Aisee ngoja niishie hapa [emoji26]
Nilitaman kujua nini kiliendeleaMim nilifumaniwa na wife nikiwa na dada wa kazi, yaani Nimemkunja chuma mboga napiga tako's zangu kiroho mbaya Sina hili wala lile.
Mara paaaah wife huyu hapa! alafu sasa, alijikausha kidogo akiangalia lile tukio. Sàsa kidume katika kuukamatia na kujipimia mzigo si ndo nikageuka? Laaa hawla, nakutana na wife Kawa mwekundu huku machozi yakibubujika.
Aisee ngoja niishie hapa [emoji26]
Tabia zenu ma ponjoro hizi kuwala mabeki tatu😅 haifai na muache! Huyo mtumishi kaja kusaidia kazi sio kubakwa...shabash!Mim nilifumaniwa na wife nikiwa na dada wa kazi, yaani Nimemkunja chuma mboga napiga tako's zangu kiroho mbaya Sina hili wala lile.
Mara paaaah wife huyu hapa! alafu sasa, alijikausha kidogo akiangalia lile tukio. Sàsa kidume katika kuukamatia na kujipimia mzigo si ndo nikageuka? Laaa hawla, nakutana na wife Kawa mwekundu huku machozi yakibubujika.
Aisee ngoja niishie hapa [emoji26]
Dawa ya moto ni moto tu 😅 mabaharia hatuishiwi mbinu kizembeKwanza nataka ujue kua uanaume ni kung'ang'ana. Hata kama umeshikwa na sms kataa sema siyo yako yaani hata iweje, na ndiyo maana wanaume tuna wale washkaji ambao likitokea la sms unasema hii ni ya fulani.
Na akipigiwa hakatai.
Ila mshkaji wa hivi hatakiwi mtu wake na mtu wako wajuane.
Pili kwakua uanume ni kusaidiana nataka nikwambie kwamba huyo ataendelea kukunyanyasa juu ya hilo swala mpaka upate dawa yake.
Dawa yake, nipe namba yake. Niambie muda gani upo home nampigia najiongelesha ni mpenzi wake na kila kitu. So na wewe utapretend kununa. Akianzisha mada ya huyo mchepuko we unaanzisha mada yangu
Alikufumania nini 😅 mzee baba?Kama ninavyoishi Mimi na mke wangu kwa sasa ,yani bifu kila siku mambo ya 2011 hadi leo anayaleta,nashukuru sikai nae karibu manake amekua kero tu,tunalea watoto maisha yaende
Kamanda kashapigwa humo, mtoto wa kike anatambaa na chaki tu kuhalalisha jambo lake kuwa chanzo ni kisasi ila deep down anauza utu tayariKwanza kabisa kukumbushia ya nyuma ni dalili ya kinyongo na hata kama mliyasuluhisha inaonesha bado hajakusamehe. Pili swala la kukumbushia ya zamani mara nyingi utakuta anatafuta sababu ili na yeye apitie humo au tayari anapitia, hivyo huwa ni kama defence mechanism yake ili hata siku ukigundua ukweli atadefend kuwa hata wewe mbona ulifanya hivyo....
Endelea kuchunguza kamanda....
Wilco out!!
Heheheheh unajua kabisa ikithibitika tu umeuza utu imeisha hio 😅 unapigwa chini mazima! Hamnaga msamaha kwa malaya aiseeWanaume wao hu move on ila wanawake hubaki wakiumia ndani kwa ndani nakuendelea na huyo mtu nfano cheating mwanaume hakurudii ng'o
Hizi ni drama tu😅 wanawake mna drama kichizi aisee nashukuru mungu nina mwanamke maturedSio kama
wanawake wengi tuna mapepo mana hata mm nikimpenda mtu naweza kuamka tu nikaanza kulia bila sababu anibembeleze tu yani, kumuona mwanaume wako anakua free tu hakuzingatii hatuwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaashiria na wewe utakuwa msumbufu sanaHayo ndio maisha ya ndoa nakumbuka hata mama yangu alikuwa anamkumbushia baba yangu vitu vya nyuma ambavyo hata mimi nimesahau.
Kmmmk walai yani dada yangu navyompenda hivi af mke animaindi kweli😅😅😅 kwanza ninae mmoja tuYale yale tena ukitaka ukumbushiwe vizuri mnunulie dada yako kitu halafu hujalipa ada
Ni mitihani sana hawa viumbe. Hawaonagi kukosea asilani. Wanaonaga wao ni perfect sana. Sijui ni nature hata sielewagi. Wanajiamink sana ni malaika. Basi tu ni vile sisi wanyonge.Shida sikuhizi upendo wa kweli hamna zaidi ya watu kupenda watu kulingangana na status au uchumi flani. But kuumizana hisia na kutaka kusamehewa huwa ni za wanaume wengi Yani huwa wanaona wao kukosea ruksa
Dah wifi yako nae anae kichaa aiseeHahaha nakumbuka wifi yangu alimwambia kaka wkti ni mgonjwa si uwafuate hao ndugu zako waku uguze maana wao si ulikuwa unawaona wa maana mimi ukaniona ni bwege mtozeni 😂😂
Kawaida ubongo wa binadamu hukumbuka mabaya kuliko memaNa mambo mabaya ndio huyakumbuka zaid kuliko mema.
Unamdekeaje baharia wewe😅 tafta bwana wa kihindi hukoHa ha ha hello twinnieee..
Team kudekaaa
Pumbavuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]Unamdekeaje baharia wewe[emoji28] tafta bwana wa kihindi huko
Mgeuze kuni tuPumbavuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaqh unateseka ukiwa wapi. Ila baharia wangu anazingua jamani. Achomwe moto ama aachwe? Nichagulie mtani letu moja
Ha ha ha shenzeeMgeuze kuni tu