Mwanamke kufukua makaburi bila sababu inatokana na nini?

Mwanamke kufukua makaburi bila sababu inatokana na nini?

Kumpata sasa huyo mwenye huruma akakuelewa ndo interview job kama ya CNN. Ni ngumu sana kukuelewa. Yaan havisahaulikagi hata kama tumesamehe. Very hard. Nina imani kuputia hii thread atleast wamepata ABCD kidogo.

Torture a woman physically and she will go ro hospital.
Torture her emotionally and see how things worsen.
Shida sikuhizi upendo wa kweli hamna zaidi ya watu kupenda watu kulingangana na status au uchumi flani. But kuumizana hisia na kutaka kusamehewa huwa ni za wanaume wengi Yani huwa wanaona wao kukosea ruksa
 
Mim nilifumaniwa na wife nikiwa na dada wa kazi, yaani Nimemkunja chuma mboga napiga tako's zangu kiroho mbaya Sina hili wala lile.

Mara paaaah wife huyu hapa! alafu sasa, alijikausha kidogo akiangalia lile tukio. Sàsa kidume katika kuukamatia na kujipimia mzigo si ndo nikageuka? Laaa hawla, nakutana na wife Kawa mwekundu huku machozi yakibubujika.

Aisee ngoja niishie hapa [emoji26]
Hilo kosa halisahauliki kamwe mimi nabaki tu ili watoto wakue basi tena heri kufanyia umalaya mbali na sio ndani hapo hapo hafu kirahisi huwa mnataka kusamehewa loh
 
Mim nilifumaniwa na wife nikiwa na dada wa kazi, yaani Nimemkunja chuma mboga napiga tako's zangu kiroho mbaya Sina hili wala lile.

Mara paaaah wife huyu hapa! alafu sasa, alijikausha kidogo akiangalia lile tukio. Sàsa kidume katika kuukamatia na kujipimia mzigo si ndo nikageuka? Laaa hawla, nakutana na wife Kawa mwekundu huku machozi yakibubujika.

Aisee ngoja niishie hapa [emoji26]
Nilitaman kujua nini kiliendelea
 
Mim nilifumaniwa na wife nikiwa na dada wa kazi, yaani Nimemkunja chuma mboga napiga tako's zangu kiroho mbaya Sina hili wala lile.

Mara paaaah wife huyu hapa! alafu sasa, alijikausha kidogo akiangalia lile tukio. Sàsa kidume katika kuukamatia na kujipimia mzigo si ndo nikageuka? Laaa hawla, nakutana na wife Kawa mwekundu huku machozi yakibubujika.

Aisee ngoja niishie hapa [emoji26]
Tabia zenu ma ponjoro hizi kuwala mabeki tatu😅 haifai na muache! Huyo mtumishi kaja kusaidia kazi sio kubakwa...shabash!
 
Kwanza nataka ujue kua uanaume ni kung'ang'ana. Hata kama umeshikwa na sms kataa sema siyo yako yaani hata iweje, na ndiyo maana wanaume tuna wale washkaji ambao likitokea la sms unasema hii ni ya fulani.

Na akipigiwa hakatai.

Ila mshkaji wa hivi hatakiwi mtu wake na mtu wako wajuane.

Pili kwakua uanume ni kusaidiana nataka nikwambie kwamba huyo ataendelea kukunyanyasa juu ya hilo swala mpaka upate dawa yake.

Dawa yake, nipe namba yake. Niambie muda gani upo home nampigia najiongelesha ni mpenzi wake na kila kitu. So na wewe utapretend kununa. Akianzisha mada ya huyo mchepuko we unaanzisha mada yangu
Dawa ya moto ni moto tu 😅 mabaharia hatuishiwi mbinu kizembe
 
Kwanza kabisa kukumbushia ya nyuma ni dalili ya kinyongo na hata kama mliyasuluhisha inaonesha bado hajakusamehe. Pili swala la kukumbushia ya zamani mara nyingi utakuta anatafuta sababu ili na yeye apitie humo au tayari anapitia, hivyo huwa ni kama defence mechanism yake ili hata siku ukigundua ukweli atadefend kuwa hata wewe mbona ulifanya hivyo....
Endelea kuchunguza kamanda....
Wilco out!!
Kamanda kashapigwa humo, mtoto wa kike anatambaa na chaki tu kuhalalisha jambo lake kuwa chanzo ni kisasi ila deep down anauza utu tayari
 
Wanaume wao hu move on ila wanawake hubaki wakiumia ndani kwa ndani nakuendelea na huyo mtu nfano cheating mwanaume hakurudii ng'o
Heheheheh unajua kabisa ikithibitika tu umeuza utu imeisha hio 😅 unapigwa chini mazima! Hamnaga msamaha kwa malaya aisee
 
Shida sikuhizi upendo wa kweli hamna zaidi ya watu kupenda watu kulingangana na status au uchumi flani. But kuumizana hisia na kutaka kusamehewa huwa ni za wanaume wengi Yani huwa wanaona wao kukosea ruksa
Ni mitihani sana hawa viumbe. Hawaonagi kukosea asilani. Wanaonaga wao ni perfect sana. Sijui ni nature hata sielewagi. Wanajiamink sana ni malaika. Basi tu ni vile sisi wanyonge.

And yes, wanaangalia status ya familia ndo wamake move. Kitooongaaaa[emoji23][emoji23]
 
Hahaha nakumbuka wifi yangu alimwambia kaka wkti ni mgonjwa si uwafuate hao ndugu zako waku uguze maana wao si ulikuwa unawaona wa maana mimi ukaniona ni bwege mtozeni 😂😂
Dah wifi yako nae anae kichaa aisee
 
Unamdekeaje baharia wewe[emoji28] tafta bwana wa kihindi huko
Pumbavuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaqh unateseka ukiwa wapi. Ila baharia wangu anazingua jamani. Achomwe moto ama aachwe? Nichagulie mtani letu moja
 
Back
Top Bottom