Yeah kibinaadamu kosa kama hilo huwa halisahauliki, wife huwa analikumbishiaga sana tu japokua tukio lilitokea muda mrefu.
Huwa nam'bembeleza nakumpa maneno laini, yaani Nampa maneno yakumfanya ajione yeye ni Bora na wa umuhimu. Huwa natoa Hadi machozi ya kiuwongo ili kushindilia uwongo wangu uonekane ukweli ( nasemaga wanawake Wana mioyo laini, ila wanaume tuna mbinu [emoji16])
Basi mwisho wa siku atalaza kichwa kifuani kwangu nami nitaitumia vizuri chance hiyo kwa kumpa support ya kumpigapiga mgongoni huku nikimshikashika nywele zake... At the end nakula tunda [emoji23]