mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
- Thread starter
-
- #161
Sasa wee umenena....Sijui kama na wanaume huwa wapo hivi.....
Wanawake tunakaaga na mambo mioyoni, japo nshasimulia kwa mashost ila sijasahau so kuna siku tu vinajirudia kichwani ndio unashangaa mwingine ananuna (hapa utasikia wanawake huwa wananuna bila sababu) la!!! Sii kwamba hatuna sababu, tunazo na hatusemi kwakua yanakua ni mambo yalopita.
Ni vile yamenipita kichwani muda huo
[emoji23][emoji23][emoji23] basi me nitakua fala. Inategemea. Kuna time nasamehe. Ila kama umenitesaaa na dharau na kejeli, nikikushika yaan nakuaga mtu mwingine. Dharau yangu ni kutosema kitu. Kimya kimya. Ila people are too fakeNi kutokujielewa huko mimi nikufumanie direct hafu eti nijifanye kusamehe mbona ngumu hyo, kafanyie uchafu mbali huko kah
Ha ha ha ha kila sa aunamkumbushia eh[emoji23][emoji23] u akumbuka umenicheat?[emoji23][emoji23][emoji23]mimi simwachi bwana nikimfumania hiyo itakuwa fimbo ya kumtesea Hadi uzeeni
Na watoto wanamtenga baba[emoji23][emoji23]Sio ku mu cheat tu tu tunaanza ku move on kiakili na kuanza sasa kujiandaa na lolote hasa investment za kisiri siri hamna kumuonea huruma kwa kutoa hela zake hapo navuta mda watoto wakue kue wakubwa kuanzia form six akikubuhu namwacha akiwa nguvu hana. Hapo ndo huwa majuto yenu
Wahenga walinena fainali uzeeni.Na watoto wanamtenga baba[emoji23][emoji23]
Rest in peace in advance, hapo sukari, presha vikiambatana na ukimwi kama kawa
Ndio nakumbushia, ila nilichojifunza wanaume hawapendagi kukubushwa madhambi yao kweli hukosa Raha nakuwa wakaliHa ha ha ha kila sa aunamkumbushia eh[emoji23][emoji23] u akumbuka umenicheat?
Kusamehe inatakiwa usikumbuke kabisa sasa kukumbuka inakuwa hujasamehe[emoji23][emoji23][emoji23] basi me nitakua fala. Inategemea. Kuna time nasamehe. Ila kama umenitesaaa na dharau na kejeli, nikikushika yaan nakuaga mtu mwingine. Dharau yangu ni kutosema kitu. Kimya kimya. Ila people are too fake
Hajui hilooKmmmk walai yani dada yangu navyompenda hivi af mke animaindi kweli😅😅😅 kwanza ninae mmoja tu
Kila mtu anatabia yake mf. Mama amiwa single mother wewe sio lazima ufuate hivyo unaweza olewa na ndoa yako ikawa nzuri tu.Hii inaashiria na wewe utakuwa msumbufu sana
Mara nyingi mnafataga akili ya mama zenuKila mtu anatabia yake mf. Mama amiwa single mother wewe sio lazima ufuate hivyo unaweza olewa na ndoa yako ikawa nzuri tu.
Au ukaoa mke mzuri tu
Wewe nawe kwani shida ipo wapi.??Mara nyingi mnafataga akili ya mama zenu
Dah wifi yako nae anae kichaa aisee
Ha ha ha balaaWahenga walinena fainali uzeeni.
Ha ha ha tujitahidi basi tusiwakumbushieNdio nakumbushia, ila nilichojifunza wanaume hawapendagi kukubushwa madhambi yao kweli hukosa Raha nakuwa wakali
Sasa tunafanyaje. Ndo hulka yetu wanadamuKusamehe inatakiwa usikumbuke kabisa sasa kukumbuka inakuwa hujasamehe
Kuna bingwa amesha occupy space moyoni mwakeKuandika Uzi wa mapenzi asubuhi subuhi haimaanishi kwamba hatujengi Taifa. LAA!
Muhali gani wapendwa? Nawaombea muwe na afya njema.
Ni swali fupi tu
JE NINI KINAFANYA MTU KUFUKUA MAKABURI (MAMBO MAOVU) YA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NYUMA?
Mpenzi wangu na mama mtoto wangu ambaye yuko mbali na mimi kwa sasa, Jana tulijikuta katika malumbano makubwa baada ya yeye kuanza kuniuliza kuhusu mambo flani mabaya ambayo niliyafanya Miaka ya nyuma.
Jambo lenyewe ni kwamba alinikuta na dalili na nyaraka zote zinazoonesha kuchepuka. (Nilikataa kata kata ingawa ilikuwa kweli)
Lakini mambo yalikwenda na yakaisha kwa amani na upendo ukaendelea.
Ajabu ni kwamba jana baada ya kukosa cha kuzungumza akaanza kunikumbusha yale mambo. Na sio kunikumbusha tu bali alijipanikisha baada ya kukumbuka lile tukio kana kwamba limetokea sasa hivi.
Nikamuuliza kwani mbona masuala yalishaisha? Au Kuna nini tena ?
Nikaona huku sasa ni kuzoeana vibaya. Nikaanza kumfokea na kuanza kujibizana hadi usiku mkubwa. Nikampiga biti na kumwambia kwamba KAMA UMECHOKA KUWA NA MIMI JIKATAE MAPEMA KUNGUNI WEE!
NIKABAKI NA MASWALI HAYA!
1. Hisia zake zimempotosha kwamba kwa sasa nachepuka kwa sababu niko mbali naye?
2. Amepata baharia mpiga makasia sasa ananikumbusha kwamba anauliza?
3. Amenichoka?
4. Kuyumba kwa uchumi kumempagawisha?
5. Mabadiliko ya hormone kwa kuwa ana muda mrefu hajafanya mapenzi? (Kwa MUJIBU WA imani yangu[emoji1])
6. Amechoshwa na kasumba zangu
Au nini shida?
NB
Sharauti sana kwa wanangu wote mlio oa ama kuishi na Mwanamke kwa muda mrefu.
WivuKuandika Uzi wa mapenzi asubuhi subuhi haimaanishi kwamba hatujengi Taifa. LAA!
Muhali gani wapendwa? Nawaombea muwe na afya njema.
Ni swali fupi tu
JE NINI KINAFANYA MTU KUFUKUA MAKABURI (MAMBO MAOVU) YA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NYUMA?
Mpenzi wangu na mama mtoto wangu ambaye yuko mbali na mimi kwa sasa, Jana tulijikuta katika malumbano makubwa baada ya yeye kuanza kuniuliza kuhusu mambo flani mabaya ambayo niliyafanya Miaka ya nyuma.
Jambo lenyewe ni kwamba alinikuta na dalili na nyaraka zote zinazoonesha kuchepuka. (Nilikataa kata kata ingawa ilikuwa kweli)
Lakini mambo yalikwenda na yakaisha kwa amani na upendo ukaendelea.
Ajabu ni kwamba jana baada ya kukosa cha kuzungumza akaanza kunikumbusha yale mambo. Na sio kunikumbusha tu bali alijipanikisha baada ya kukumbuka lile tukio kana kwamba limetokea sasa hivi.
Nikamuuliza kwani mbona masuala yalishaisha? Au Kuna nini tena ?
Nikaona huku sasa ni kuzoeana vibaya. Nikaanza kumfokea na kuanza kujibizana hadi usiku mkubwa. Nikampiga biti na kumwambia kwamba KAMA UMECHOKA KUWA NA MIMI JIKATAE MAPEMA KUNGUNI WEE!
NIKABAKI NA MASWALI HAYA!
1. Hisia zake zimempotosha kwamba kwa sasa nachepuka kwa sababu niko mbali naye?
2. Amepata baharia mpiga makasia sasa ananikumbusha kwamba anauliza?
3. Amenichoka?
4. Kuyumba kwa uchumi kumempagawisha?
5. Mabadiliko ya hormone kwa kuwa ana muda mrefu hajafanya mapenzi? (Kwa MUJIBU WA imani yangu[emoji1])
6. Amechoshwa na kasumba zangu
Au nini shida?
NB
Sharauti sana kwa wanangu wote mlio oa ama kuishi na Mwanamke kwa muda mrefu.
Ana mikasiriko hadi kwa mgonjwa mi ningemsema😅😅😅Ni kichaa kweli kweli yaani alikuwa ana revenge ile mbaya halafu kwa umri wake tulibaki tunashangaa.
amna shida banaWewe nawe kwani shida ipo wapi.??