Mwanamke kuhama ukoo baada ya ndoa!

Mkuuu,,, imeandikwa naye mwanamke ataachana na wazaz wake nakuambatana na mumewe ..nadhan hii ndo sababu .... .
Mwanzo 2:24 Kwa hiyo mwamamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…