Mwanamke kukata mawasiliano na mumewwe!

Mwanamke kukata mawasiliano na mumewwe!

Wadau ipo hivi.
Nina jamaa yangu nafanya nae kazi. Mke wake ni mwalimu sasa mwanafunzi wa chuo kimoja hivi kikubwa hapa nchini
Kabla ya kwenda chuo mahusiano yao yalikiwa yamekaa vizuri kabisa. Baada ya miezi miwili chuo Bible hana taimu na jamaa kabisa . Hili limekaaje

“Alienda chuo cha mbali “. Bad mistake
 
Aaah wapi!! Ubusy hutofautiana kati ya mtu na mtu. Kuna wale ambao wao wapo tu shule ilimradi wapate vyeti. Na kuna wale wasongo.
Mke wa jamaa ni msongo hivyo muda wa kubebishana hana.

Kuna aina mbili ya watu, yule kweli yuko busy but anapopata nafasi anakucheki, halaf kuna yule ambae nafasi yako kwake haipo, awe busy asiwe busy they dont care.

Ukishajua position yako kwa mtu wala haikusumbui.

Iko hivi kwa wanandoa, mtu akiwa busy mpaka anamsahau mwenzie ,huo si ubize ni priority . Amechagua anachokifanya over mwinzie. And thats it
 
Wazungu wenyewe walishasema " Out of Sight out of Mind*

Imetoka hiyo😂
 
Back
Top Bottom