Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Unaendaga wapi mzee kila siku utarudi.ntarudi
Tumekusoma
Naomba UniPM .Kwakuwa wanaume wamezama kwenye kuwaza hivo basi hata macho ya kumtambua mke mweny3 upendo halisi mbali na hivo hamna, utashi huo mmepokonywa.
Da nisaidie huyu jamaa ana mishe gani hapa duniani mpka hii tandamu ikamwelewa?.
Ni msanii ana pesa ndefu.Hio tandam imefata mzigo.Kabla site za ashiki azijafungwa jamaa live alikuwa akipakia mzigo.Anaitwa Grand PDa nisaidie huyu jamaa ana mishe gani hapa duniani mpka hii tandamu ikamwelewa?.
Walaa haupo nje ya mada we endelea kuimba kuna watu huku nje tunakuskilizaZari la mentali limetokea na kitimtim.................nikawaacha watu wote wakinishangaaa ktk mitaaa[emoji23]sorry niko nje ya mada