Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
- Thread starter
- #41
Kinachonitatiza hapa nikuwa
Huwa inaonekana sawa mwanamke kutoa vizawadi pale mwanamme anapokuwa na kipato kuliko mwanamke.
Lakini inapokuwa mwanamke ana kipato kuliko mwanamme hapo ndo utata huanza
huonekana kama mwanamke ananunua penzi.
Kwa hiyo, si halali mwanamke kumhonga mwanamme anapomzidi kipato?
Huwa inaonekana sawa mwanamke kutoa vizawadi pale mwanamme anapokuwa na kipato kuliko mwanamke.
Lakini inapokuwa mwanamke ana kipato kuliko mwanamme hapo ndo utata huanza
huonekana kama mwanamke ananunua penzi.
Kwa hiyo, si halali mwanamke kumhonga mwanamme anapomzidi kipato?
na huku sio kuhonga ni kubadilishana vijizawadi