Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Hiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa

Ushamba tu unasumbua....
 

Attachments

  • Screenshot_20180122-154711.png
    Screenshot_20180122-154711.png
    75.6 KB · Views: 45
Oooos wametusaidia, nikija nitazisaka
Basi mie nilianza ziona za chupa,siku moja Naenda kununua naambiwa 50k nikasema ghkeee!!! Mbona bei imepanda Mara 5 yake,ndio nikaonyeshwa ya box...nikajua kumbe ziko na za box...enjoy it dear..
 
Basi mie nilianza ziona za chupa,siku moja Naenda kununua naambiwa 50k nikasema ghkeee!!! Mbona bei imepanda Mara 5 yake,ndio nikaonyeshwa ya box...nikajua kumbe ziko na za box...enjoy it dear..
Thanks darln
 
Mbona mi napiga hivyo vi tequila hata silewii ,na hapo nishakunywa bia

We dina wewe nahisi akil zetu zinaendana ahhahahahaah ......... maana inafika kipind whisky hulewi inabidi uaanze na bia au cocktail kama sehemu sio ya kunywa bia !!!
 
Si unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.

Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.

Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.

Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!

Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.
njaaaa
 
Mimi chausiku wangu anakataga mijibapa kama mitatu kila nikimtoa out
 
Back
Top Bottom