Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hapana aisee ,,koo litachubukaHahahah kwakweli nilistuka mno nikasema kama unagonga ile chupa mwenyewe yaani itabidi nikualike one day nipate uzoefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana aisee ,,koo litachubukaHahahah kwakweli nilistuka mno nikasema kama unagonga ile chupa mwenyewe yaani itabidi nikualike one day nipate uzoefu.
Ahhahaaj tufake nini nao watuacheHakuna cha ufake...ndio maisha yalivyo hivo mdogo ake Deo Kisandu
Hakuna cha ufake...ndio maisha yalivyo hivo mdogo ake Deo Kisandu
SitakiiiiHahah...anatafuta namba zako!
Ha ha ha haaa[emoji23] [emoji23]
Yes kbsa, na mm nko ArsArusha mpk 49...5 ltr
OK bby sijawah on a ya chupa mpnzHiyo ni ya box luv.. Ya chupa ni elfu 10 - 15.
Hiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa
Zipo dear,750 ml.OK bby sijawah on a ya chupa mpnz
Zipo dear,750 ml.
Basi mie nilianza ziona za chupa,siku moja Naenda kununua naambiwa 50k nikasema ghkeee!!! Mbona bei imepanda Mara 5 yake,ndio nikaonyeshwa ya box...nikajua kumbe ziko na za box...enjoy it dear..Oooos wametusaidia, nikija nitazisaka
Thanks darlnBasi mie nilianza ziona za chupa,siku moja Naenda kununua naambiwa 50k nikasema ghkeee!!! Mbona bei imepanda Mara 5 yake,ndio nikaonyeshwa ya box...nikajua kumbe ziko na za box...enjoy it dear..
Mbona mi napiga hivyo vi tequila hata silewii ,na hapo nishakunywa bia
njaaaaSi unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.
Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.
Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.
Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!
Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.
Unanitega!!!! Mbona kifua kipo wazi???^huu uzi nisipomuona dada angu Kapeace utakuwa haujakamilika