Ndio maana nasema amepitiwa na wengi sana halafu hakuna hata mmoja amemfikisha kunako, mwisho wa siku inabidi tu atoe conclusion ya research yakeMpka unakuja kutofautisha tafsiri umejua vitu zaidi ya kimoja sio swala kutofikishwa
😂😂😂Katafute tiba usilaumu watu Mr goigoi😂😂😂😂Sipingi ni kweli malaya maana umejua adi kutofautisha horse power za wahuni.
Hapana usikasirike "mydear'Huna nguvu ndo maana hutaki kusikia habari hizo, Ni kawaida hatupendi kusikia visivyotufurahisha
Kwa Tafsiri yako nimo kundini, 'malaya' na hata sijali
Wengi wako namba 2 japokuwa hata namba 1 yote ni matatizo makubwaHapana usikasirike "mydear'
Tujadili taratibu.
Wanawake wengi mnatafsiri nguvu za kiume kwa;
1. Mwanaume dushe kusinyaa ktkt ya mechi
2. Kumaliza mapema nabkutorudia, je mnajua tatizo lilojificha?
Ukinijibu nitakupa siri moja
🤣🤣😂ndo kamchezo kao hako wanaharibu saikolojia basi hapo mwamba akiambiwa ivyo anatafuta dawa ni kuna demu alinifanya nikote kweny mchezo mapema eti nataka unipige show ya maana masaa kadhaa duh nikaona hapa hatarUsiombe hii kitu ikitokee!
Wanawake siku hizi wamekuwa huru sana kuongelea ya sirini, wana makundi yao kibao sijui wasapu sijui fesibuku kutwa kujadili na kufundishana ngono.
Wengi wakitumiana zile video pendwa na kulinganisha na wapenzi wao, wanaanza kuona huna LOLOTE ni kibamia tu.
Mwanamke wako akitaka kukutoa mchezoni, anakutamkia tu HUNIFIKISHI... kwisha habari yako.
[emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi naamini wanaume wengi wapo vizuri Tena sanaaaa ipa sasa sexual performance ndo ikulu ya wanaume kwa hiyo tukitaka kuwa indimidate na kuumiza ego zao tunakuja na propaganda za nguvu za kiume na hivyo kuwapelekea kupata msongo wa mawazo, substance abuse na kuanza kutoa Lord-knows-what wanazo uziwa mitaani.
Kama issue ni sexual performance basi sio kosa la mwanamme pekee. Sisi wanawake tunachangia Tena kwa kiasi kikubwa sana. Kwanza kuwazidishia stress, pili kutotambua performance pia inategemea na huko kwa mwenzie amepakutaje in terms of mileage, hygiene etc.
So before pointing fingers, preaching lots of BS and bringing our men down, let us evaluate ourselves first.
Umeua mrembo. Wanawake mna nafasi kubwa zaidi kutufanya tufanye vizuri kitandani. Wanaume sio marobot huwa wanacheza na beats za feeling upande wa piliBinafsi naamini wanaume wengi wapo vizuri Tena sanaaaa ipa sasa sexual performance ndo ikulu ya wanaume kwa hiyo tukitaka kuwa indimidate na kuumiza ego zao tunakuja na propaganda za nguvu za kiume na hivyo kuwapelekea kupata msongo wa mawazo, substance abuse na kuanza kutoa Lord-knows-what wanazo uziwa mitaani.
Kama issue ni sexual performance basi sio kosa la mwanamme pekee. Sisi wanawake tunachangia Tena kwa kiasi kikubwa sana. Kwanza kuwazidishia stress, pili kutotambua performance pia inategemea na huko kwa mwenzie amepakutaje in terms of mileage, hygiene etc.
So before pointing fingers, preaching lots of BS and bringing our men down, let us evaluate ourselves first.
Ni kweli hayo matatizo yako.
Lakini mengine husababishwa ba baadhi za ofisi zenu na mwenye ofisi mwenyewe.
Katika sex mwanamke anayo nafasi kubwa sana kumfanya mwanaume arudie tendo mara kadhaa...hii inatokana na atakavyomjengea mwanaume mvuto...utundu wake katika kuteka hisia.
Pili; kuna binti unamtamani sana lakini akikufunulia tu hamu inakata.
Maumbile mengine yana maji na mtepeto wa ajabu.
Mwanaume anaweza kujikaza kuanza ku sex lakini aidha anaweza kuharakisha amalize au hata hisia zikaishia katikati ya tendo.
Tatu ni matatizo ya nguvu za kiume litokazo na mtindo wa maisha...vyakula, nyeto, porn nk
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja pande za A town anauzaga dawa yake inaitwa Mnato. Yule dada akiwa anakuelezea unawezahisi uko uchi,kweli njaa huwa inawatoa watu akili