Mwanamke kuongelea suala la nguvu za kiume hadharani huwa unapata tafsiri ipi?

Moja na pili ni kwa kiwango kidogo sana inaleta upungufu wa nguvu ila 3 ndo tatizo lilipo, life style inachangia pakubwa ukosefu wa nguvu za kiume kubalini tu na hili kwa mwanaume Ni aibu ndo maana mnajihami mapema ili lisiongelewe sababu inawadhalilisha na kweli mwanaume asie na nguvu Ni Kama kopo lililoishiwa bidhaa, matumizi yake ni kuwekewa chumvi, sukari na makazi yake Ni jikoni hope mmenielewa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani utendaji wangu umepungua mama?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani utendaji wangu umepungua mama?
Nimezungumzia in general sio wewe binafsi babaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Zingatieni Sana life style yenu najua inawanyong'onyeza ila ukweli haukimbiwi bali kuukabili,, mnavyopoaga Hadi huruma YaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mwingine kujipooza anaamua kuwashushia jumba bovu wanawake wote wanaozungumzia hilo suala,
Sasa mtapata vipi tiba km hamtaki sie watumiaji tuseme mnapokwamia?? Au muambiwe na wanaume wenzenuπŸ€”na wao tutawauliza waliyajulia na kuyafanyia wapi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha niitikie in general bibie
 
Another note.

It's never about the size, it's about how you make that woman feel.

Sex for us women goes beyond the thrusts. Satisfaction to us is alot more complicated than mere pushups.

Do your best and leave the rest to us.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Katafute tiba usilaumu watu Mr goigoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umechukulia kipersonal zaidi pole dada ila kama ni kama unazungumzia jua ni malaya [emoji848]
 
Umechukulia kipersonal zaidi pole dada ila kama ni kama unazungumzia jua ni malaya [emoji848]
Pole wewe mwenye tatizo sio Mimi mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Itoshe tu kusema binadamu ameumbiwa tamaa kila siku anahitaji kitu Kipya maishani. Pia vijana nguvu wanazo, ila shida ni mazoea kwa pande zote mbili kitu kinachopelekea haya yote kutokea.
 
Why are you posting this do you want us to stronulodolous our incritruxocos without our melosium lomp coxholism Topsology.
πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Mimi nilijua mwanamke kama mdau uhinu wa nguvu za kiume ana haki ya kuzionglea.
 
Ukiona hivyo ujue wanawake tumechokaa, yametufika hapa yani.
 
Pole wewe mwenye tatizo sio Mimi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama unaongeleaga kwa watu amini sio mimi tu ninayekuona wapo wengi wanakutafsiri we ni malaya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…