Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?


Hapo kwenye umri hapo jaa........utajaswekwa Butimba wewe nishindwe kutoka Mkuyuni kukuletea japo kapile!! LOL
 
Yaani jimama kama hili linaweza kulalamika halitongozwi? Khaa!

 
Eti wajameni.... utathubutu kurusha vijineno kwa maafande kama hawa kama wewe ni kimbaumbau kama ODM?

 
AshaDii, nitangulize samahani kuwa nimepita kijuu juu. Lakini sijaona kuzungumziwa habari ya mwanamke kuonekana 'too desperate' kutongozwa. Dawa ya hawa jamaa, appear like you are not interested and u will hook up the best fish with a strong personality. Unajua ukijipeleka kwa simba ama akikuona ukakaa tu bila kuhisi anahitaji kukukimbiza hatakuchangamkia! Simba lazma akimbize kidogo ndo ataona raha ya kuwinda,lol!
 
Habari yako Mugglin....

Naomba nikutongoze tafazali....:violin:
 
AshaDii, mambo,

Would you like to dine out with me, lets say tonight?
 
mie naona both ways it goes inategemea nani kakolea zaidi

You may be right....

Alaaaaaah mwasubiri kutongozwa hamjajifunza chochote Beijing ya haki sawa kwa wanawake na wanaume tongozeni wadada na wamama shauri yenu wanawake wa Tanzania wenzenu wa Kenya wamesonga mbele wanatongoza wao hawasubiri kutongozwa!

Kuna mambo mengine yana mpaka wake hata kama ndio mambo ya haki sawa......
 
Nilikwambia umekosea kumuuliza how he knows (kosa la kiufundi). Kumbe alter you are that blue in these matters? Ona sasa matokeo yake:

aisee..... Nimeona... I think am losing the touch; mind getting a student out of ADI not to repeat the errors in the future.... lol



Teamo ni aidha hujanisoma vizuri OR Sijakusoma vizuri.... Why do you think kua maana yangu ni hio in purply?
 
You may be right....



Kuna mambo mengine yana mpaka wake hata kama ndio mambo ya haki sawa......
Aahh!!.....umerudi tena leo! usisababishe na leo nishindwe kutimiza majukumu yangu kwa kukimbizana na hii thread, hapa ngoja nikimbie.
 
Hii thread leo imenifanya nikumbuke kwamba hata maziwa fresh na juice navyo ni vinjwaji, hongera zako kwa kunikarisha nyumbani usiku huu badala ya kwenda kupiga Dubai kwa yule Mama na vibinti vyake.


Umenifanya nivimbe kichwa out of this post.... Na nadhani nilikusave hadi pesa pia....lol

Umeamkaje Matola?
 
Hii natural beauty kule kijijini kwetu huwa haikatizi bila kutongozwa.....



Hii ngozi ni ya maeneo yale ambayo jua linaanzia kuwaka..equator or something. Siyo Sudan hii maana this skin is so dark and looks original. Haijachakachuliwa na burger
 
Nadhani nimtongoze upya Gaga, waonaje? LOL


Kama enzi hizo nilikubali hujui my weak spots.... Saizi do I really have a chance to say NO? I wonder....lol
 
Kweli kutongoza ni fani.....

Yaani sredi bado inashika kasi namna hii? Afu inbox yangu imejaa maPM kibao mabinti wanataka niwatongoze....

Mi nshazeeka jamani.... nyie mabinti ntawawezea wapi?


Toka kushoto: Cantalisia, Amyner, Afrodenzi na Kabakabana.
 
Mitongozo bana ukiipatia inakuwa raha kweli.

Hapa mai Fellow Tablet Kloro akijivinjari na Keren_Hapuch baada ya mitongozo kueleweka....Angalizo (Raba mtoni kwa hisani ya Hommie Kaizer)

 

Interesting....



Marhaba Judgement.... nafurahi kukuona hapa.... How is my favourite niece? B2T

Nimependa mtazamo na msimamo wako kua ukimpenda na kuvutiwa na mwanamke mengine huangalii..... Naomba nijibu...

Waweza oa alokuzidi 6+ miaka?
Waweza oa alokuzidi uwezo pakubwa?
Waweza oa mwenye PHD na una Degree tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…