Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Umenifanya nivimbe kichwa out of this post.... Na nadhani nilikusave hadi pesa pia....lol

Umeamkaje Matola?
Healthier & strong enough..........ili la kusave pesa halina mjadala umenisaidia sana, tena sio kusave tu huwa tunarudi na madeni wakati mwingine una overdraft round ukiamka kama hivi unakuta mfukoni una kikaratasi cha oustanding bill kama ya 40,000/= Kudos friji yangu imesheheni soft drink za kutosha.
 
Jibu la swali lako nitaku-PM, maana Wahafidhina watasoma, halafu mama Ngina ataleta Nouma.................LOL

Mie nasubiri haina shida.....lol

Hii natural beauty kule kijijini kwetu huwa haikatizi bila kutongozwa.....




Shem ndio nini hivi?? Naona umeamua kuweka picha yangu hapa? Why??? Tena bila ruhusa..... Dah!
 
Interesting.....!!??Why??Dada,hebu dadavua!!Halafu nitakusalimu!
 
Aahh!!.....umerudi tena leo! usisababishe na leo nishindwe kutimiza majukumu yangu kwa kukimbizana na hii thread, hapa ngoja nikimbie.

hahahaha.... tunafunzana hapa.... sio mbaya once in a while....


Alafu kuna mahala nimesoma kua nyumbani kama yard ya magari..... lol... Unaweza niazima gari moja; niko kijijini huku usafiri kaaza kweli kweli! Ili mradi tu iwe four wheel drive.

Umenifurahisha hilo suala la kuondoka na madeni... mimi nilifikiri bar hazikopeshi siku hizi.... lol
 

Mengine ya watu sio ya kwangu Rafiki.......wengine wakikwama wanakuja kuweka bond wanachukuwa mkwanja wanaacha gari kweye Yard yangu. Mjini hapa kwa wale wapenda magari basi Matola ni tajiri kibongobongo kumbe similiki zaidi ya mikweche yangu miwili tu na boda boda mbili tu!
 
Shem ndio nini hivi?? Naona umeamua kuweka picha yangu hapa? Why??? Tena bila ruhusa..... Dah!
Samahani shem... nimesahau nikaweka wakati ukiwa kigori. Ngoja niwawekee hii ukiwa na Kaizer baada ya makarolaiti kufanya kazi yake...

 


Mugglin umegusia la msingi saana. Ni kweli desparation ni mbaya (tena hukuweka kila saa uko tayari kwa kutongozwa na hali haipendezi sometimes kutongozwa ije as a surprise....); I like the dawa you have recommended.... Na nadhani hio ya kufanya hivo ni hasa pale ambapo wahisi kuna mtu anakumendea.... for siamini kua ni kila sehemu you need to do that hali hauko aware hata kama somebody is watching you....
 


hahaha..... I hope sio gear ya kuninyimia? lol

I like the fact of the matter in the post.... nice one Matola.....
 
Interesting.....!!??Why??Dada,hebu dadavua!!Halafu nitakusalimu!

Interesting in the sense kua mtazamo wako ulinifanya nifikirie beyond..... na kuzingatia ulo kua umepost.... Nisalimu basi my beloved brother....

Samahani shem... nimesahau nikaweka wakati ukiwa kigori. Ngoja niwawekee hii ukiwa na Kaizer baada ya makarolaiti kufanya kazi yake...



Umeshindwa weka nyingine umeona hadi uweke zenye kuonesha chupa za beer.....lol... Shem naomba usiweke picha yangu nyingine bana!
 
Ok,dada,usijali,gud mrng ma lovely dada!I hope thing are gud out there!About that post,kiukweli wanawake walio natural napata tabu sana kuwapata,si unajua nimekubali yaishe nakutafutia wifi!But sijapata,I'm still looking for someone!
 
hahaha..... I hope sio gear ya kuninyimia? lol

I like the fact of the matter in the post.... nice one Matola.....
Hahahahahah.......haina maana kunyimana, ukija Dar no problem naweza kukuazima with self Driving lakini siyo 4wd, hizi 4wd ndizo zinazonipa jeuri ya kurelax hapa JF bila kufikiria kubeba box, hizi zimekodiwa na kampuni ziko huko mikoa ya kusini kwenye mambo ya utafiti wa nature resource, hapa mimi nakula check yangu kila mwezi tu.
 
Ok,dada,usijali,gud mrng ma lovely dada!I hope thing are gud out there!About that post,kiukweli wanawake walio natural napata tabu sana kuwapata,si unajua nimekubali yaishe nakutafutia wifi!But sijapata,I'm still looking for someone!


Good morning to you too dear.... Alafu wewe upo wapi huko ambako hadi leo wadai huna mwanamke? lol.... Au tatizo sio wao ni wewe kakangu?

BTW.... Hivi Eiyer ni kwa nini hupendi kumjibu mtu kwa ku quote? hii hua hata wafanya ukipost thread zako..... Hii inafanya yule ulom quote sometimes kuto elewa kua ni yeye umemlenga hasa....
 


Hongera saana Matola.... Hio tender nzuri saana hio... sasa kwangu ni kua problem naishi mkoani... If it happens nimekuja Dar then lazima nikutafute uniazime usafiri....
 
Lol! Babu hebu orodhesha mali zisizohamishika kwanza tuanze mchakato. Mind u I appear uninterested hadi nikuone unapata kichaa. Dates kibaao na stori za kisela sela. Afu naku-tongoza kiduchu na mie.
Nasubiria orodha nimpelekee evaluator wangu.
Habari yako Mugglin....

Naomba nikutongoze tafazali....:violin:
 
Hongera saana Matola.... Hio tender nzuri saana hio... sasa kwangu ni kua problem naishi mkoani... If it happens nimekuja Dar then lazima nikutafute uniazime usafiri....
Ur wellcome rafiki........Halafu Dar hatutumii neno kuazima bali kuadjust!.....
Na kwaswala la tender hizo ndio faida za kuwa connected na watu na sio kuwa na mawazo ya kuajiliwa tu, sijatamka neno Yes Boss kwa muda mrefu sasa.
 
Lol! Babu hebu orodhesha mali zisizohamishika kwanza tuanze mchakato. Mind u I appear uninterested hadi nikuone unapata kichaa. Dates kibaao na stori za kisela sela. Afu naku-tongoza kiduchu na mie.
Nasubiria orodha nimpelekee evaluator wangu.
Afu Mugglin bana...

Kabla sijasema lolote hebu nambie, haya mapozi yako bado yako vilevile au ushabadilika siku hizi?

 
Lol! Babu hebu orodhesha mali zisizohamishika kwanza tuanze mchakato. Mind u I appear uninterested hadi nikuone unapata kichaa. Dates kibaao na stori za kisela sela. Afu naku-tongoza kiduchu na mie.
Nasubiria orodha nimpelekee evaluator wangu.
Habari yako Mugglin....

Naomba nikutongoze tafazali....:violin:
 
Lol! Babu hebu orodhesha mali zisizohamishika kwanza tuanze mchakato. Mind u I appear uninterested hadi nikuone unapata kichaa. Dates kibaao na stori za kisela sela. Afu naku-tongoza kiduchu na mie.
Nasubiria orodha nimpelekee evaluator wangu.
Bado unapiga mazoezi?
 
Dada bana!Kwanini unashangaa mimi kuwa sina mwanamke till now?Mbona kawaida tu?Pia tatizo sio mimi,tatizo ni wao,siku mbili tu baada ya kufahamiana wanataka kudo,wengine wanataka kunifanya baba yao kila shida yao niimalize mimi,wengine hawajiamini wala hawajijui na hawajui majukumu yao!Kuhusu kumquote mtu,dada natumia nokia ya tochi haifanyi kila kitu!Nikiokota hela nitanunua angalau ka laptop nitaweka na avatar!!Teh,teh,teh,teh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…