Jamani jamani jamani.......... Hii lugha ya Dave Cameroon mtuonee huruma wajukuu wa Mwalimu Nyerere tuliosoma shule za sekandare za kata tukaishia fom tuu B.....Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?
Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?
Shem.....nakusalimu.
Ama baada ya salamu naomba nikuulize kumbe kutongozwa ni deal eh? Ole wake mtu anitongozee mai mama Matesha wangu.....
Vingine vunavyochangia mwanamke kutotongozwa🙁Source: ODM)
1. Akiwa mzuri sana (wanaume tunaogopa kupigwa vibuti ati) kuna ile hulka ya wanaume kuona mrembo kama huyu si size yangu. Sasa kila mtu akiona we si size yake ndo basi tena. Watu watakuwa wanafaidi kwa macho tu.
2. Akiwa mbaya sana (Yaani mwanamke ana sura kama ngumi ya mwizi) afu basi hata kujifanyia make ups hajui au hataki. Afu ukute mchafu kama choo cha stendi..../ nani atakutongoza?
3. Maringo / majivuno kwa sana
4. Utajiri... Kama una vijisenti vyako kama vya Chenge, ni wanaume wachache sana wenye guts za kukutokea.
5. Kichwa / Shule.... Yaani kama umepiga elimu zako kadhaa kichwani, tena zenye heshima ya haja... vidume huwa havipendi "kutawaliwa".
Sijui niendelee?
Bi mkubwa,
Habari yako binafsi kwanza....
Huyo mwanamke ambaye hatongozwi huyo tena ni kiboko ua labda hajui matumizi ya mtandao.....
Maana siku hizi unatongozwa na mtu hata hamjuani matongozo meeengi mpaka uanshangaa huyu mtu ananijuaje mimi kama ni jini je???
JF unatongozwa, FB unatongozwa, Twita unatongozwa nk basi ni vurugu tupu
Sidhani kama kutongozwa ni fahari kwa mwanamke mwenye heshima zake na anayejiamini. Nifahamuvyo mimi kama mwanaume, ili nifikirie kukutongoza maana yake nimekutamani na nimeona uwezekano wa kukupata upo. Kwa maana nyingine umejivika sura ya urahisi kiasi watu wanakuona easy prey na kukuaproach.
Nataka nikuhakikishieni wadada kuwa ni dharau tu ndio humfanya mwanaume akamtongoza mke wa mtu. Lkn cha kushangaza mwanamke mwenye kutongozwa hujiona amebahatika sana bila kujali tafsiri ya kinachoendelea. Mwanamke mwenye kujiheshimu na muaminifu kamwe hajijengei mazingira ya kutongozwa. Kwa kifupi hajiviki sura ya ugawaji na hivyo hata wanaume huliona hilo na kwa hiyo hawajisumbui naye.
Na labda nikudokeze jambo kuhusu mambo ambayo yanawaweka bize. Kwa mfn; wanaume wengi hukatia shingo na kushangilia anapopita mwanamke mwenye makalio makubwa at the same time ni wanaume wachache sana huoa wanawake wa namna hiyo. Hapa utaona kuwa vitu vingi hushabikiwa nje lkn ndani ya mtu havina thamani kwa hiyo sidhani kama wanaokutongoza kila kona ya mji huwa wana nia na wewe zaidi ya ku-hunt easy craps for funny. Are you funny item?
Mie wala hawa hawanisumbuagi coz najuaga wanahangaika tu,hasa hasa kwa rejao wataishia kumwangalia kwa macho mwenyewe keshasema anawaogopa!!!
Isitoshe password za kule mahala rejao alishanimilikisha kitambo lol!
Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe tu, au labda kama anataka unrealistic hunks with own money tree and a plot on a sea of tranquility, kila mtu ana wake ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama una kinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama Desert what do you expect?
Umesema hapo inabidi mtu utongozwe kwa kiasi isiwe too much!
Sasa swali langu ni hivi,mm km mwanamke huwa siwezi kujipangia nnitongozwe na wangapi may be kwa siku,
Hawa jamaa wanajiukuta tu wamenitongoza kila mtu kwa wakati wake na bila mwingine kujua km kuna aliyenitongoza kabla yake na sitakiwi kutongozwa tena!
Sasa mm km mwanamke nifanyeje ili nitongozwe kwa kiasi? na kiasi ndio km vp?
Hii sredi bado inaendelea au tuianze uchakachuzi?
Sori ADI for zis schupid ofutopiki lakini inayodizevu ka-LIKE kamoja.
:iamwithstupid::iamwithstupid:
Umri sio kigezo mbona mimi natongoza mabibi kabisa wenye mvi
Nipe contacts zake fastaaaa
OTIS
nitupie link ya jina lake la FB kwenye pm yangu
Yaani ma dia Canta umeniziba masikio na mdomo kabisa....sisikii wala siwezi kusema chochote kabisa!
nafikiri AshaDii anafahamu kale katabia changu, na alikuwa ananipigia nacho kelele sana! But toka nimetua kwako, nimekuwa mpolee, zezeta, domo zege! Hata kelele za Kongonsho na Smile siziskii kabisa!
Sio easy prey, labda kutongozwa hakujafafanuliwa vyema, mi nadhani kutongozwa haswa ni pale mwanaume anapoenda out of his way kuonesha jinsi anavyoku admire and that my friend is something else, just knowing haiba yako inawavutia watu inakufanya mtu mzuri zaidi unlike kama watu wasipokufata inakufanya mtu mbaya, aidha una dharau, roho mbaya hucheki na watu na mengine yaliyoainishwa na wengine. Ukiwa approachable mtu anaweza kuwa na shida ingine kama kuelekezwa mahala lakini akawa drawn into u kutokana na mvuto wako na akajaribu kukueleza kwa hali ya heshima lakini wengine hawapati hata nafasi ya kusemeshwa hata kwa mazungumzo ya kawaida ambayo yanaweza ku lead into mahusiano kwa nia njema.
Thank you Ashadii for this useful post
Nitarudi baadae kuchangia
Shem bana....
Yaani ukishajibiwa kama hapo bold, kwa sisi wazoefu tayari tushaachana naye..... khaa!
Marahabaaaa.......... Hebu nambie, ulikuwa wapi siku zote hizi?:violin:Shikamoo babu!!