Mwanamke kuvaa chupi nyeusi mnakera

Inakuwaje una appointment na mjamaa wako alafu unavalia chupi nyeusi tiii hamjui mnakera jamani.hata taiti nyeusi zote ni kerooo!!!
Mnunulie ya rangi unayo taka, alafu ndipo uje uulize
 
Wadada niwashauri kitu, kabla hujakubali kuwa na mtu kimahusiano jaribuni hata kudadisi tu uwezo wake wa kufikiri kiujumla, msikimbilie vifua, pochi au sura ya mauzo. Hiki kidubwana utakuta kikiwa huko na wavulana wenzie unakuta kinajitapa kweli kweli kumbe bure!

Unajua nin kuhusu chupi wewe mvulana? Unatuaibisha wanaume
 
We mnunulie rangi unazozipenda uone kama hatavaaa!!!!!!
Mnajipa tu stress za kufikir kupoteza mb zako wakat mtuhumiwa Yuko kwenye 18 zako!!!!!!!!!
 
Hivi huo muda wa kuchunguza rangi unautoa wapi? Ila ranging nyeusi ina mvuto wake bna
 
Ukiwa mweupe chupi nyeusi ndo mpango mzima mie naipenda mno ...
 
Na wewe utakuwa na asili ya uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…