Mwanamke kuvaa chupi nyeusi mnakera

Mwanamke kuvaa chupi nyeusi mnakera

Ungemwambia mapema tu mkuu. Hata kwa sms "Baby mwanamke akivaa chupi nyeusi huwa mzuka unapotea kabisa!" Angejiongeza!!
Kaka/dada chupi ni sapraiz kwa mwanaume akiwa anaanza kuvua si unajua ukitupia jicho mwili unasisimka vibaya!!. Sasa ndo umekuta katupia cheusi duh hamu yote inaishia hapo
 
Ahahahaha naona we unataka demu wako avae chupi ya kitenge akijamba inatuna chupi nyeusi hata mi cpendi mwaya
"chupi ya kitenge" [emoji118] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hiyo kali
 
Nipe namba yake huyo anayevaa chupi nyeusi ili nimwambie aache
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..nyeusi zina mvuto sana...bhna mie ninazo mbili ila swaga tofauti ni mzuka kishenzi.... au bibie wako anakuvaliaga yale ya kale[emoji23][emoji23]

Tonyblair lkn ni mwanamke?Au mm ndiyo sijaelewa?
 
Nimefuatilia uzi na koment mwanzo mwisho, hakuna hata mmoja wa kutuwekea japo ka picha!?
 
Dem mweupe akitupia kitu cheusi anaonekana sexy sn.
 
fefa0bdc925d882d9ebe180af69fce78.jpg
 
Back
Top Bottom