Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeamua kuwapigia chapuo dada zako...wachaga wabaguzi sana,bora niwe single milele kuolewa na mchaga
Cc: Me
I hope imekupata hiyo
Upumbavu tu huu...so what?
So ujue tunaanza taratibu ubaguzi ....kabila moja kujiona bora kuliko jingine...hapa waje wahaya,wahehe,wakwere kila mmoja ajiweke juu...kuliko mwingine...nine miss hotuba za nyerere
So u shud get a wife from chaggaz hahaha...
Acha uongo wewe wachaga hawana roho mbaya kwanza ni wajanja watafta hela in all aspect za maisha wana think beyond ya kila kitu
Ahsante kwa kukiri kuwa kwenye wizi wamo. Mie kuna mtu alikatazwa kuoa mchaga lakini hakusikia. Matokeo yake kilichomkuta hatakaa asahau.
Give me a chance to prove to you that we aren't who you believe we are!
Hahahah....nna sampo ya kutosha sihitaji kuongeza
wauwaji wakubwa wakiona mme ana hela ni bora amuuwe apate hela. mbona kuna wakinga, wapogoro wa form 4 wana hela kuliko hao wachaga wenye dgr, achen kuf...r w a