Mhhhh swali gumu hlo kujibu
hvi wachaga c ndo awa naskia wanaua waume zao ili wajimilkshe mali
utajiitaje msichana sasa?
Ci a girl au inakuaje sasa
jinsia ni ke! sawa ila ujue kama umeshapoteza usichana wako(bikra) usijiite msichana ushakuwa mwanamke...
Mimi kabila langu mwanaume akioa mchaga inakuwa kama umeingiza LAANA kwenye ukoo. Sijui kuna kisa gani cha kihistoria but kuoa mwanamke wa kichaga unatengwa na familia. Inadaiwa Ni washirikina sana, wanapiga limbwata wanaume wanakuwa mazuzu ikifika December wanakimbilia kurekebisha migombani wakati kwao choka mbaya.
Pia sio wachaga wote mambo safi, mangi fundi viatu wangu hapa mtaani mke wake anauza mbege na wote choka mbaya.
Mwanaume wa kweli hawezi kuoa mwanamke kwa kutegemea mkewe atakuwa chachu ya kupata hela, unaoa kwa kuangalia urembo, performance nzuri kitandani na watoto wazuri atakaoleta mkewe, sio vile vimiguu kama mkia wa bamia
wachaga ni wayahudi weusi... sio tu Tanzania bali hata east and central Africa wanasifika.... Lipumba mwenyewe na uprefesa wake pamoja nakuwa muislamu aliamua kabisa kuoa mchaga (Regina Mtenga), ina maana huko tabora hakuona wanyamwezi au wanyaturu wa singida? mpaka akaamua kwenda kilimanjaro? Je? unafikiri wewe unaakili kuliko prof Lipumba? Vip kwa mzee mkapa? ye alitoka msumbiji kabisa kwa wamakonde akaamua kuwaacha mabinti wa kingoni ambao mnawasifia kwa kukata mauno akaona isiwe tabu ngoja niende uchagani. Je unafikiri we unaakili kuliko mkapa ambaye ni raisi wa tatu wa bongo?..... Vip kwa lowassa, sumaye!!!!!! Do u think it could be a matter of coincidence? No it isn't,there should be facts behind these dubbed black jews from Africa...:A S wink:
utajiitaje msichana sasa?
Hapo kwenye red: Nani kakuambia kuoa mchaga ni bahati? Poor mentality! Hakuna kabila linaloshape maisha yako. If you are loose count failure hata uoe malaika achilia mbali mwananke wa kichaga. Kama unategemea kupata maendeleo kwa kuoa mchaga you are gone. Sana sana atakutaliki after three to four yrs kama hakieleweki.
umesikia wapi?
mwambie wewe mana nikisema mimi anasema namtukana, ndo mana anatetea kumbe hajaolewa kumbeee
wachaga ni wayahudi weusi... sio tu Tanzania bali hata east and central Africa wanasifika.... Lipumba mwenyewe na uprefesa wake pamoja nakuwa muislamu aliamua kabisa kuoa mchaga (Regina Mtenga), ina maana huko tabora hakuona wanyamwezi au wanyaturu wa singida? mpaka akaamua kwenda kilimanjaro? Je? unafikiri wewe unaakili kuliko prof Lipumba? Vip kwa mzee mkapa? ye alitoka msumbiji kabisa kwa wamakonde akaamua kuwaacha mabinti wa kingoni ambao mnawasifia kwa kukata mauno akaona isiwe tabu ngoja niende uchagani. Je unafikiri we unaakili kuliko mkapa ambaye ni raisi wa tatu wa bongo?..... Vip kwa lowassa, sumaye!!!!!! Do u think it could be a matter of coincidence? No it isn't,there should be facts behind these dubbed black jews from Africa...:A S wink:
wivu wa kike huu
Aise nilikuwa cfahamu mwanamke si aliye na mtoto ndo ana qualify kuwa mwanamke from what i know