Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upepo umebadilika sio kama zamani, siku hizi wanawake wa kichaga wanafanya mambo ya ajabu sana ikiwemo ukahaba na kutoa tigoKimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.
Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.
Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.
Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.
Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
ni kweli tupu.ila umesahau ni ving'ang'aniz wa ndoa sana. 75% ya ndoa zinazofungwa Dar ni wanawake wa kichaga wanaolewa
usikutane wa wa machame huyo atakuua, au mkirua/kilema hao ni wachawi. warombo hao ni malaya, wa marangu hawajui shughuli kitandani.kwa kifupi wanawake wa kichaga wanapenda wanaume wenye.pesa ukienda kuoa unaulizwa unanin unachomlk ndo.maana wanaolewa na kuonekana wanahela wapo.radh.wasilewa kama mwowaji huna kitu.
xo usijishaue
source na mke mchaga nayaona hayaaa
Hawa watu wanawazaga hela tuu mengine hawatak kujuausikutane wa wa machame huyo atakuua, au mkirua/kilema hao ni wachawi. warombo hao ni malaya, wa marangu hawajui shughuli kitandani.
wanawake wa kichaga wana shape za ajabu waweza kuta mwanamke mzuri ila ni pasi/nyuma kitonga hakipo au mbaya, kitonga hana ila maziwa yake ni makubwa sana. halafu usafi sio wazuri sana inshort hawapendi kujiremba.
kuna baadhi ya wanawake kwao kujiremba ni kipaumbele ataweza maliza hata laki kupamba maku mfano wa pwani.
upepo umebadilika sio kama zamani, siku hizi wanawake wa kichaga wanafanya mambo ya ajabu sana ikiwemo ukahaba na kutoa tigo
Wanajua kutafuta hela tuu mkuu wakilala wanaota hela hawawazii vitu hvyo mm mwenyewe nitaoa ukoMademu wa kichaga hawajua kutiana!!!!!
utaingia sehemu mbaya sana wewe unajua wanataka pesa na wewe ni maskin hapo watakupiga chini halafu mwenye hela atafwatwa maaana ni wapenda pesaHawa watu wanawazaga hela tuu mengine hawatak kujua
Wanajua kutafuta hela tuu mkuu wakilala wanaota hela hawawazii vitu hvyo mm mwenyewe nitaoa uko
Ukweli MtupuKimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.
Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.
Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.
Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.
Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
Siyo ving'ang'anizi ila ni wife material. M'ume huwezi kumlazimisha akuoe kama hajapanga au hajakupenda. Kinyume na hapo huyo dume Fake na hana misimamo kwenye maisha yake..ni kweli tupu.ila umesahau ni ving'ang'aniz wa ndoa sana. 75% ya ndoa zinazofungwa Dar ni wanawake wa kichaga wanaolewa
Mkuu daaah mpaka kwa god paleeee ni matata mixer nyaturuHata wale pale mbezi kwa god
Aiseee hii ni kweli tupu ndugu.usikutane wa wa machame huyo atakuua, au mkirua/kilema hao ni wachawi. warombo hao ni malaya, wa marangu hawajui shughuli kitandani.
wanawake wa kichaga wana shape za ajabu waweza kuta mwanamke mzuri ila ni pasi/nyuma kitonga hakipo au mbaya, kitonga hana ila maziwa yake ni makubwa sana. halafu usafi sio wazuri sana inshort hawapendi kujiremba.
kuna baadhi ya wanawake kwao kujiremba ni kipaumbele ataweza maliza hata laki kupamba maku mfano wa pwani.
Mwenye kubisha na abishe tu mm sina ukabila lkn wachaga nimefunga break niwatafutaji mfano cjaona kw hp Tz labda Kenya. Kingne ht ukimtut shule aisee duuh hy bn hongera zao. Ntazunguk Tz nzima mpk nipate Mchaga nikikosa nibora kubaki bachelor. This is according to me..... Karibuni wenye kuona mbalinimeandika kiujumla mkuu, nikitaka kudhibitisha itanilazimu nianze kuzungumza juu ya maisha ya watu moja kwa moja.
nimebahatika kuishi sehemu mbali mbali za nchi yetu ya tanzania,
juzi hapo nilikuwa mwanza pale kuna wahamiaji wengi sana wakichagga hasa wanaotoka maeneo ya machame..
both males and females.
sasa karibia wanaume wengi waliooa wanawake wasio wachaga kwa pale mwanza wako tofauti,
wengi stuggle zao ni ngumu.
wanafight with less help kutoka kwa wenzi wao.
na kwa wale wanawake wakichaga walioolewa na wasio wachaga wamesimama imara kuhakikisha maendeleo ya familia hayaendi chini.
hata kama waume zao ni employed workers, they real fight.
kuna jamaa hapo juu kauliza juu ya nafasi ya mwanamke katika maendeleo ya mwanaume, hili liko wazi kabisa.
Mke wako ana nafasi kubwa sana katika maendeleo yako.
Wanamsimamo hawagawi hovyo. Ndoa kwao ni heshima sio rahisi kumpata wakumpigapiga danadana akakutizama tu.dakika anakuhama anaelekea kunakosomeka.ni kweli tupu.ila umesahau ni ving'ang'aniz wa ndoa sana. 75% ya ndoa zinazofungwa Dar ni wanawake wa kichaga wanaolewa
Hahahahaaaa... Visu tena[emoji15] mbn unaniogopesha[emoji87]halafu waambieni waache kulala visu kitandani
Yaaan umeniwah wallah ni bora nisioe kuliko nikose MchagaSitaki demu wa kitanga, jioni moja kanga tayari amejipanga kwa mabusu mangapi. Demu ninaemtaka manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza sh ngapi?
We ndo ujuiMademu wa kichaga hawajua kutiana!!!!!
Hahahaha humu kuna raha sanaaaaaaa nishidaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........!wanachonifurahisha wachanga bana ukioa kwao lazima sikukuu za xmas na we ukashiriki tambiko lao moshi. sijui wana nguvu gani hawa mabinti, ukiwaoa unakua kama umeolewa wewe, na lazima ukawajengee kwao.
mshikemshike ndege tunduniii.....