Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

ila bila majungu wanawake wa kichaga wana akili sana za maisha..

nina rafiki yangu ana mdada wa kinyaturu kazaa nae watoto wawili..

hajasimama kimaisha kivile anaunga unga tu.. ila mdada mama wa watoto wawili anang'ang'anja harusi kubwaaa...

jamaa amemwambia harus anayoitaka yeye haina sherehe yeyote maana hana pesa za kurisk maana watoto wanahitaj ada lazima ajiandae nao...

ila.mwanamke haelewi.. na ndugu wa mwanamke nao wamekomaa wanataka harusi eti..

siamini huyo mwanamke angekuwa mchaga mama wa watoto wawili angekuwa na akili fupi za kuwaza sherehe kiasi hiki... ama ndugu zake wachaga wangekomaa kutaka sherehe kubwa wakati wanajua mumewe anaunga unga

wachaga ni smart sana ndio maana wana maendeleo
 
ila bila majungu wanawake wa kichaga wana akili sana za maisha..

nina rafiki yangu ana mdada wa kinyaturu kazaa nae watoto wawili..

hajasimama kimaisha kivile anaunga unga tu.. ila mdada mama wa watoto wawili anang'ang'anja harusi kubwaaa...

jamaa amemwambia harus anayoitaka yeye haina sherehe yeyote maana hana pesa za kurisk maana watoto wanahitaj ada lazima ajiandae nao...

ila.mwanamke haelewi.. na ndugu wa mwanamke nao wamekomaa wanataka harusi eti..

siamini huyo mwanamke angekuwa mchaga mama wa watoto wawili angekuwa na akili fupi za kuwaza sherehe kiasi hiki... ama ndugu zake wachaga wangekomaa kutaka sherehe kubwa wakati wanajua mumewe anaunga unga

wachaga ni smart sana ndio maana wana maendeleo
Aisee
 
Tatizo wanawake wa kichaga ni wababe sana, hawashauriki.

Pia hawawezi kumpenda mtu kutoka rohoni ila wanampenda mtu kwa kile alichonacho.
[emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
!
!
Ni kweli. Kuna mwanamke niliacha a nae miaka hiyooo nilimuacha of kozi na alikuwa ananiambia hataki kupeleka mtoto kliniki kwa mguu. Guess what..... Simaliziii. Angel I miss you, I wish ningekuwa nawe hadi leo
 
ila bila majungu wanawake wa kichaga wana akili sana za maisha..

nina rafiki yangu ana mdada wa kinyaturu kazaa nae watoto wawili..

hajasimama kimaisha kivile anaunga unga tu.. ila mdada mama wa watoto wawili anang'ang'anja harusi kubwaaa...

jamaa amemwambia harus anayoitaka yeye haina sherehe yeyote maana hana pesa za kurisk maana watoto wanahitaj ada lazima ajiandae nao...

ila.mwanamke haelewi.. na ndugu wa mwanamke nao wamekomaa wanataka harusi eti..

siamini huyo mwanamke angekuwa mchaga mama wa watoto wawili angekuwa na akili fupi za kuwaza sherehe kiasi hiki... ama ndugu zake wachaga wangekomaa kutaka sherehe kubwa wakati wanajua mumewe anaunga unga

wachaga ni smart sana ndio maana wana maendeleo
[emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa wachawi huko na firauni kibao?? kama nimelogwa na mwanamke wa kichaga basi sina imani nao tena mtoto mdogo??? wachaga ni zaman sio sasa wanafunuliwa hadi uwani. zile picha zilizokua zin zinasambaa hukuzuliona yule mwanamke wa mamba???
Mwanamke wa Mamba ipi?
 
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quiet different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.
 
Back
Top Bottom