Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

That's according to ua own perception and not me

princess acha kukaza shingo yako.
elewa basi, na usijiite tena msichana kwa kiswahili kama huo usichana ulishaupoteza..
kwa kiswahili usichana maana yake ni ubikra.

kama huna ur not msichana anymore..
 
princess acha kukaza shingo yako.
Elewa basi, na usijiite tena msichana kwa kiswahili kama huo usichana ulishaupoteza..
Kwa kiswahili usichana maana yake ni ubikra.

kama huna ur not msichana anymore..
:a s 27::a s 27::a s 27:
 
kuwa msichana au kutokuwa msichana hakuusiani na uwepo wa bikra..msichana hubadilika na kuwa mwanamke pale tu anapokua...na haihusiani na kutolewa kwa bikra au la
princess acha kukaza shingo yako.
elewa basi, na usijiite tena msichana kwa kiswahili kama huo usichana ulishaupoteza..
kwa kiswahili usichana maana yake ni ubikra.

kama huna ur not msichana anymore..
 
Aisee akili yenu ndogo sana.....kwa hiyo lipumba kuoa mchaga imekuwa big ishu...! Vipi maprofesa wanaofundisha vyuo nao wameoa wachaga?

mkuu hawa watu ni hatari, basi hapo wameona ni bonge la sifa, aise nimecheka sana nilipoona mtu anajisifia uchaga et kwa sababu lipumba ameoa kwao
 
kuwa msichana au kutokuwa msichana hakuusiani na uwepo wa bikra..msichana hubadilika na kuwa mwanamke pale tu anapokua...na haihusiani na kutolewa kwa bikra au la

Asante kwa information nzuri mana kang'ang'ania huyo hajui kutofautisha
 
Huku ninakoishi kwenye kila ma bar maid 10 sita ni hao form six na kuuza wanauza

alaf unakuta meneja wa bar ni kabila lingine, na ndio anampa mshahara sasa cjui iyo form six yake inamsaidia vipi
 
Huyo form six wenu mmoja niko nae ananifanyia kazi japo apate nauli aludi kwao............
Alikimbilia huku kisa alisikia kuna biashara hakujua huku kila kitu lazima afuate sheria
 
We uliyesema vimiguu kama bamia umenichekesha! Lakini viko faster kutafuta fedha siyo miziiito kama ya wanyamwezi! Vimiguu vya kichagga oyeeee!
 
Huyo form six wenu mmoja niko nae ananifanyia kazi japo apate nauli aludi kwao............
Alikimbilia huku kisa alisikia kuna biashara hakujua huku kila kitu lazima afuate sheria

Hahahahah....walah umeua
 
Huyo form six wenu mmoja niko nae ananifanyia kazi japo apate nauli aludi kwao............
Alikimbilia huku kisa alisikia kuna biashara hakujua huku kila kitu lazima afuate sheria

[MENTION]tinna cute [/MENTION]Naomba kiondoka nishtue nije mimi wala sihitaji mshahara. Nina hamu ya kuja ng'ambo kweli.
 
nimeandika kiujumla mkuu, nikitaka kudhibitisha itanilazimu nianze kuzungumza juu ya maisha ya watu moja kwa moja.

nimebahatika kuishi sehemu mbali mbali za nchi yetu ya tanzania,
juzi hapo nilikuwa mwanza pale kuna wahamiaji wengi sana wakichagga hasa wanaotoka maeneo ya machame..
both males and females.

sasa karibia wanaume wengi waliooa wanawake wasio wachaga kwa pale mwanza wako tofauti,
wengi stuggle zao ni ngumu.
wanafight with less help kutoka kwa wenzi wao.

na kwa wale wanawake wakichaga walioolewa na wasio wachaga wamesimama imara kuhakikisha maendeleo ya familia hayaendi chini.
hata kama waume zao ni employed workers, they real fight.

kuna jamaa hapo juu kauliza juu ya nafasi ya mwanamke katika maendeleo ya mwanaume, hili liko wazi kabisa.
Mke wako ana nafasi kubwa sana katika maendeleo yako.

Wewea huo utafiti kwa pale mwanza umeufanya lini???, make kati ya makabila ambayo yanahisia mbaya kwa wanawake wa kichaga ni kabila la WASUKUMA,Wasukuma wanaamini kabisa kuwa wanawake wa kichaga ni killers wa waume zao ikitokea wamepata mali.Mleta maada unaweza kuniambia ni matajiri wangapi waliopo mkoani mwanza waliooa wachaga na ni matajiri wangapi waliopo pale MWANZA waliooa kabila tofauti na wachaga na wanaendelea kutajirika??????.
 
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.

Sina shida na wanaume wa kichagga, ila kiukweli wadada wa kichagga ni mabingwa wa kuwatoa roho waume zao huku mtaan kwetu kuna wamama wawili tofauti wa kichagga waliolewa na wanaume wenye uwezo kifedha walivyoona mambo yako bambam wote kwa ma2kio tofauti m1 alimchoma kisu mumewe. Mwingine alimpa sumu mumewe huyu wa sumu uchunguz ulifanyika kwanza ila badae ikathibitika ni yeye aliyefanya tukio...pili huwa wanapenda vya kuelea hawajui vimeundwa..wanapenda sanaaa kuolewa na wanaume ambao tayari wako vizuri kifedha, inshort wana tamaa ya hela sana, pia wana roho mbayaaaaaaaaaaaa sana na ni wabinafsi wanapenda sana vya kupewa ila wao ni wagumu sana, na hawawezi kubadilika kamwe...! Usiwashawishi kaka ze2 waoe majanga bado tunapenda kuwaona wakiishi na malengo yao kutimia...take care my brothers hizi ni promo tu
 
Back
Top Bottom