Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Pengine ni kweli unenayo japo cina uhakika;ingawa kwenye thread yako umeongelea upande mmoja tu wa maendeleo;kumbuka kuwa mapenzi ya dhati ndio kila kitu katika nyumba na mkiwa na upendo wa kweli katika nyumba mtapata zaidi ya kile mnachotazamia;nyumba,gari,pesa na vyote mtavipata ikiwa mna upendo wa dhati.mimi niko kaskazini na ni mojawapo ya makabila hayo;most ya wanawake wa huku wanapenda sana kuangalia pesa wakati mapenzi ni zero.yaani kwao mapenzi ni kitu cha pembeni sana;na hivyo ikitokea mwanaume amedondoka kidogo kimaendeleo mara nyingi huanza dharau na usipokaa sawa anaweza kujiwekezea mali zake yeye mwenyewe bila mwanaume kujua;take care
nb;
simaanishi wanawake wote wa kaskzini ila ni baadhi;
 
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.

Hahahaha!! Huu ni uongo mtupu,tupo hapa tumeolewa na wachaga maisha safi kila uchao,kaka zake my hubby walioa wachaga wenzao kila siku ngumi maisha doro wanadidimia,hadi vitu vingine wanaenda kuficha kwa watu ili mke asiteketeze vyote, na kila siku wanampa big up dogo lao kwa kuoa kabila lingine.

Pole weeee!!! Ndoa si kabila omba Mungu upate mtu sahihi kwako.
 
Leo nimepata majibu ya maswali 2:Ni kwanini wachaga huwaua waume zao?Wachaga wana UKABILA Sana?
 
nimeandika kiujumla mkuu, nikitaka kudhibitisha itanilazimu nianze kuzungumza juu ya maisha ya watu moja kwa moja.

nimebahatika kuishi sehemu mbali mbali za nchi yetu ya tanzania,
juzi hapo nilikuwa mwanza pale kuna wahamiaji wengi sana wakichagga hasa wanaotoka maeneo ya machame..
both males and females.

sasa karibia wanaume wengi waliooa wanawake wasio wachaga kwa pale mwanza wako tofauti,
wengi stuggle zao ni ngumu.
wanafight with less help kutoka kwa wenzi wao.

na kwa wale wanawake wakichaga walioolewa na wasio wachaga wamesimama imara kuhakikisha maendeleo ya familia hayaendi chini.
hata kama waume zao ni employed workers, they real fight.

kuna jamaa hapo juu kauliza juu ya nafasi ya mwanamke katika maendeleo ya mwanaume, hili liko wazi kabisa.
Mke wako ana nafasi kubwa sana katika maendeleo yako
.

Hapo kwenye red ile mijiwanaume migomvi kila kukicha watakataa ila mimi nasema huu ni ukweli usiopingika. Ukiwa na mke wa kujirusha vilabu you're gone, mke malaya you're gone, mke fasheni you're gone. Lakini ukiwa na mke ambaye yuko focused na mwenye foresight hakuna jinsi utashindwa kusonga mbele hata kama men ata lag behind ataburuzwa kwa nguvu na hatimaye ku take off mbele kwa mbele. Nina living evidence kadhaa.
 
Wanawake wa kichaga ni wazuri ktk kutengeneza mazingira ya kuolewa.Wanaangalia elimu,mali,kazi au pato la mwanaume ndio wanajiweka hapo sio hivi hivi tu.Akiisha ingia ktk ndoa basi mume ataziona rangi zote hata asizozijua!
 
Hahahaha!! Huu ni uongo mtupu,tupo hapa tumeolewa na wachaga maisha safi kila uchao,kaka zake my hubby walioa wachaga wenzao kila siku ngumi maisha doro wanadidimia,hadi vitu vingine wanaenda kuficha kwa watu ili mke asiteketeze vyote, na kila siku wanampa big up dogo lao kwa kuoa kabila lingine.

Pole weeee!!! Ndoa si kabila omba Mungu upate mtu sahihi kwako.

Umeongea pwenti Sana dada yangu, tatizo sio wanaume wa kichagga, ni wanawake wa kichagga. Sisi tunawatambua kwa miguu yao tu unajua hapa choo cha kike ngoja nipige mara mbili akianza kuniita "hubby" hata posa sijapeleka uchagani nakula kona. Pita maofisi mengi Tanzania, wanawake wengi 35 and above ambao hawajaolewa ni wachagga, na kuwatafuna rahisi sana unaficha pete ya ndoa wanakushobokea unakula vitu then spidi 120 shaaaaaaa
 
Hahahaha!! Huu ni uongo mtupu,tupo hapa tumeolewa na wachaga maisha safi kila uchao,kaka zake my hubby walioa wachaga wenzao kila siku ngumi maisha doro wanadidimia,hadi vitu vingine wanaenda kuficha kwa watu ili mke asiteketeze vyote, na kila siku wanampa big up dogo lao kwa kuoa kabila lingine.

Pole weeee!!! Ndoa si kabila omba Mungu upate mtu sahihi kwako.

Aisee una moyooo....kuolewa na mchaga...!
 
Umeongea pwenti Sana dada yangu, tatizo sio wanaume wa kichagga, ni wanawake wa kichagga. Sisi tunawatambua kwa miguu yao tu unajua hapa choo cha kike ngoja nipige mara mbili akianza kuniita "hubby" hata posa sijapeleka uchagani nakula kona. Pita maofisi mengi Tanzania, wanawake wengi 35 and above ambao hawajaolewa ni wachagga, na kuwatafuna rahisi sana unaficha pete ya ndoa wanakushobokea unakula vitu then spidi 120 shaaaaaaa

Hahahahaha!!!!
cc: Tembosa
 
Last edited by a moderator:
Aisee una moyooo....kuolewa na mchaga...!

best yangu wala usitishike kabisa hakuna mkate mgumu mbele ya chai! mie mwanzoni nlikuwa siwapendi kama nini Mungu akasema hapohapo ndo ubavu wako ulipo, acha kabisa upate mtu sahihi kwako tu mengine mbwembwe tu!!!!
 
best yangu wala usitishike kabisa hakuna mkate mgumu mbele ya chai! mie mwanzoni nlikuwa siwapendi kama nini Mungu akasema hapohapo ndo ubavu wako ulipo, acha kabisa upate mtu sahihi kwako tu mengine mbwembwe tu!!!!

Unaweza ukakubalika kwa mumeo lakini kwa ndugu zake usikubalike.... Wengine wanadai haihusu mana ndoa ni ya wawili lkn si kweli....ukiolewa na mtu maana yake umeshajiunga na ukoo wake na ndio wanatakiwa wawe ndugu zako haswaa sasa kama wasipikukubali utaishi kwa amani? Hakuna kitu nnakipenda maishani kama amani ya nafsi...mengine ziada tu.
 
Huyo form six wenu mmoja niko nae ananifanyia kazi japo apate nauli aludi kwao............
Alikimbilia huku kisa alisikia kuna biashara hakujua huku kila kitu lazima afuate sheria

duh na form six yake! ina maana form six yake haijamsaidia mpaka anahangaika hvo?
 
Unaweza ukakubalika kwa mumeo lakini kwa ndugu zake usikubalike.... Wengine wanadai haihusu mana ndoa ni ya wawili lkn si kweli....ukiolewa na mtu maana yake umeshajiunga na ukoo wake na ndio wanatakiwa wawe ndugu zako haswaa sasa kama wasipikukubali utaishi kwa amani? Hakuna kitu nnakipenda maishani kama amani ya nafsi...mengine ziada tu.

hayo yakutopendwa na ndugu yapo kila kabila best yangu.
 
Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.


Hasa kama kapitia zile kozi za Kiborolonyi
 
Back
Top Bottom