Una watoto? Au sahihi zaidi niulize KuKu1 una vifaranga? Wangapi? Uliwahi kuolewa? Unatafuta mtu ambaye hajaoa kabisa au alioa na ndoa ikavunjika?Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Umenena vyema!Kwanza Watu wengi tunaogopa sana I'd mpya, uhakika unakosekana kama kweli u mhitaji au kuna mengine.
Pili ni kwa ucheche mno kumkuta mwanaume wa miaka 45 ambaye hana mke , na hao wachache kamwe hawapo hapa Jf, na hata kama wapo wamesha katishwa sana tamaa na wanawake hivyo hawahitaji tena.
Tatu ungeweka maelezo ya kutisheleza kuhusu wewe, halafu usingeweka ukomo wa umri ila hao ambao wangekuja ungechambua usingekosa wa kukidhi haja ila sio aliye mkamilifu moja kwa moja.
Ya mwisho mahusiano , na ndoa hayana faida ya moja kwa moja zaidi sana migogoro ya hapa na pale na ukosefu wa amani na furaha kwa wingi.
Zaidi sana nakutakia kufanikiwa.
ZingatiaJf, na hata kama wapo wamesha katishwa sana tamaa na wanawake hivyo hawahitaji tena.
Ndiyo vizuri, unaenda kumla kuku.Imagine unaenda kuoa mtu anaitwa kuku 😂😂😂😂
unaweza kukuta huyu ni jamaa yako kabisa jukwaa la michezo au intelligence forum kuhusu umri si tatizo yupo yule jamaa aitwaye @kikohozi nadhani anaendana na profile anayoitaka.Kwanza Watu wengi tunaogopa sana I'd mpya, uhakika unakosekana kama kweli u mhitaji au kuna mengine.
Pili ni kwa ucheche mno kumkuta mwanaume wa miaka 45 ambaye hana mke , na hao wachache kamwe hawapo hapa Jf, na hata kama wapo wamesha katishwa sana tamaa na wanawake hivyo hawahitaji tena.
Tatu ungeweka maelezo ya kutisheleza kuhusu wewe, halafu usingeweka ukomo wa umri ila hao ambao wangekuja ungechambua usingekosa wa kukidhi haja ila sio aliye mkamilifu moja kwa moja.
Ya mwisho mahusiano , na ndoa hayana faida ya moja kwa moja zaidi sana migogoro ya hapa na pale na ukosefu wa amani na furaha kwa wingi.
Zaidi sana nakutakia kufanikiwa.
Sema unatafuta Mume wa MTU, Au Mgane, au mtalaka, asiyekuwa na nguvu za kiumbe ,asiye na Uchumi .Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Mjukuu huogopi laana wewe?😁Imagine unaenda kuoa mtu anaitwa kuku 😂😂😂😂