Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Usiseme ukamalaKuku kapandwa na mijogoo karibia na kuchinjwa anatafuta banda la kujihifadhi 😹😹🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme ukamalaKuku kapandwa na mijogoo karibia na kuchinjwa anatafuta banda la kujihifadhi 😹😹🤣
😹😹😹 Nishamala na jamvi nishaanua..!!Usiseme ukamala
Mambo hupinduka😹😹😹 Nishamala na jamvi nishaanua..!!
No 2Kwanza Watu wengi tunaogopa sana I'd mpya, uhakika unakosekana kama kweli u mhitaji au kuna mengine.
Pili ni kwa ucheche mno kumkuta mwanaume wa miaka 45 ambaye hana mke , na hao wachache kamwe hawapo hapa Jf, na hata kama wapo wamesha katishwa sana tamaa na wanawake hivyo hawahitaji tena.
Tatu ungeweka maelezo ya kutisheleza kuhusu wewe, halafu usingeweka ukomo wa umri ila hao ambao wangekuja ungechambua usingekosa wa kukidhi haja ila sio aliye mkamilifu moja kwa moja.
Ya mwisho mahusiano , na ndoa hayana faida ya moja kwa moja zaidi sana migogoro ya hapa na pale na ukosefu wa amani na furaha kwa wingi.
Zaidi sana nakutakia kufanikiwa.
Ww huyooo😁😹😹😹 Nishamala na jamvi nishaanua..!!
Hizo sababu mbali mbali ndio haziwapi ruhusa ya kuoa, kwa ufupi wapo si kwajili ya kuoaNo 2
Wapo wanaume kibao wa huo umri na hawajaoa Kwa sbb mbalimbali.
Hizo nyingine sijui🤣
Rasmi sasa wazee tumefikiwa, changamoto ni kupata 45+ aliye single kabisa, ngumu.
Lakini pia kwa wazoefu wa humu, ngumu sana kwenda sawa na hizi ID mpya, ungekuja kizamani ingekuwa poa sana.
Mungu akupe hitaji la moyo wakoNiwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Wengine hawajapata wanaowatakaHizo sababu mbali mbali ndio haziwapi ruhusa ya kuoa, kwa ufupi wapo si kwajili ya kuoa
Nina sifa zote Hadi UKIMWI nimepima juzi Kati ila hii sifa ya Mume wa MTU Tu ndio kipengele but sidhani kama ni Shida Sana. She's very polite, Wewe tuyajenge tuNiwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.
Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....
Nawasilisha🙏
Mmekariri jmn wapo ambao hawajafiwa Wala nn😂😂Kama atapata basi amefiwa na mkewe
40 juu ya Meza hii hapa shuka linakumbukwa ilimradi awe ana pumua tu hela sio kigezo, umri huo Bibi Kizee hujatutajia idadi ya watoto walio hai na uliowachoropoa tujue jinsi ya kufanya bila kuwasahau wajukuuNawasilisha🙏
Mhh!Wengine hawajapata wanaowataka
Wengine hawajaamua
Hiki ndio wanachokifuata subiri mpaka 40 hii hapa ndio unakumbukaila HANA HELA.
Ningezama pm ila anaonekana hayuko serious kutafuta mume wa kuzeeka naeUmenena vyema!
Hajasema chochote kuhusu yeye, hata umri wake tu hajataja. Very incompitent.