Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
una watoto
 
Kwanza Watu wengi tunaogopa sana I'd mpya, uhakika unakosekana kama kweli u mhitaji au kuna mengine.
Pili ni kwa ucheche mno kumkuta mwanaume wa miaka 45 ambaye hana mke , na hao wachache kamwe hawapo hapa Jf, na hata kama wapo wamesha katishwa sana tamaa na wanawake hivyo hawahitaji tena.
Tatu ungeweka maelezo ya kutisheleza kuhusu wewe, halafu usingeweka ukomo wa umri ila hao ambao wangekuja ungechambua usingekosa wa kukidhi haja ila sio aliye mkamilifu moja kwa moja.

Ya mwisho mahusiano , na ndoa hayana faida ya moja kwa moja zaidi sana migogoro ya hapa na pale na ukosefu wa amani na furaha kwa wingi.

Zaidi sana nakutakia kufanikiwa.
Halafu ni kuku,
 
Rasmi sasa wazee tumefikiwa, changamoto ni kupata 45+ aliye single kabisa, ngumu.

Lakini pia kwa wazoefu wa humu, ngumu sana kwenda sawa na hizi ID mpya, ungekuja kizamani ingekuwa poa sana.
Kama atapata basi amefiwa na mkewe
 
Niwe tu muwazi nahitaji mume Mkristo miaka kuanzia 45+ asiwe mume wa mtu, najua wengi wapo wapweke humu karibu tuyajenge.

Awe tayari kupima HIV....
Awe na akili Timamu.....
Awe anayejua nafasi yake kama mume.....
Wajukuu na walembwe uzi huu hauwahusu....

Nawasilisha🙏
Weka picha
 
Back
Top Bottom