Mwanamke mlevi anahitajika

Mwanamke mlevi anahitajika

Mwambie achukue mzangazi kwenye bar yake pendwa au barmed hapo hapo. Bar
 
Wasalaam.
Kuna ndugu yangu ambaye yeye ni mzee wa pombe! Kila ijumaa jioni na jmosi siku ambazo haendi kazini ni mzee wa kulala bar.

Kwa ulevi wake huu anahitaji mwanamke anayependa urabu Ili kila ijumaa na jmosi wawe wanakokotana huko bar.

Mahari alipo ni Kakola Shinyanya.

Karibuni walevi muendelezee ulevi wenu.
Nenda bar au kilabuni utamkuta!
 
Ndo mitaa yake hio wakati mwingne anaenda kahama au Geita,
 
Wasalaam.
Kuna ndugu yangu ambaye yeye ni mzee wa pombe! Kila ijumaa jioni na jmosi siku ambazo haendi kazini ni mzee wa kulala bar.

Kwa ulevi wake huu anahitaji mwanamke anayependa urabu Ili kila ijumaa na jmosi wawe wanakokotana huko bar.

Mahari alipo ni Kakola Shinyanya.

Karibuni walevi muendelezee ulevi wenu.
Jamani hahaha mm nilitaka mwanaume mlevi tuwe tunakunywa wote Dodoma, napenda walev mimi jaman
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
kila la kheri mkuu ila ulevi huo sijui unamsaada gani kwenye maisha yenu kuweni smart.
 
Back
Top Bottom