Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
niite raisi wa ma jobless pro max, hao waki shua ni kina nani??Cc: Wakishua OG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niite raisi wa ma jobless pro max, hao waki shua ni kina nani??Cc: Wakishua OG
Utakavyoona inafaa ....... Ndo matokeo ya unachokiwazaAnakusheinyenta
Miss NatafutaUtakavyoona inafaa ....... Ndo matokeo ya unachokiwaza
Nenda bar au kilabuni utamkuta!Wasalaam.
Kuna ndugu yangu ambaye yeye ni mzee wa pombe! Kila ijumaa jioni na jmosi siku ambazo haendi kazini ni mzee wa kulala bar.
Kwa ulevi wake huu anahitaji mwanamke anayependa urabu Ili kila ijumaa na jmosi wawe wanakokotana huko bar.
Mahari alipo ni Kakola Shinyanya.
Karibuni walevi muendelezee ulevi wenu.
Inasingiziwaje Baba Mchungaji?Pombe hua inasingiziwa sana...😑
Ushafika mwanamke mlevi unataka kushainyentwa kila Jumamosi ukiwa umelewaNimepatikana tayari 😜🙆🏻♀️
Namba zake hazijawekwa, tunamtafutaje sasa ambao tupo interested.Evelyn Salt dodo chini ya mwarobaini hili huku njoo uokote
🤣🤣🤣🤣 Karibu mkuu kwenye ukoo wetuNamba zake hazijawekwa, tunamtafutaje sasa ambao tupo interested.
Ahsante shemegi, naomba namba🤣🤣🤣🤣 Karibu mkuu kwenye ukoo wetu
Jamani hahaha mm nilitaka mwanaume mlevi tuwe tunakunywa wote Dodoma, napenda walev mimi jamanWasalaam.
Kuna ndugu yangu ambaye yeye ni mzee wa pombe! Kila ijumaa jioni na jmosi siku ambazo haendi kazini ni mzee wa kulala bar.
Kwa ulevi wake huu anahitaji mwanamke anayependa urabu Ili kila ijumaa na jmosi wawe wanakokotana huko bar.
Mahari alipo ni Kakola Shinyanya.
Karibuni walevi muendelezee ulevi wenu.
Ngoja nikuwekee PMAhsante shemegi, naomba namba
Hamia Kakola au mpaka awe DomJamani hahaha mm nilitaka mwanaume mlevi tuwe tunakunywa wote Dodoma, napenda walev mimi jaman
Nikawe mchimbaji wa dhahabuHamia Kakola au mpaka awe Dom