Mwanamke mlevi anahitajika

Mwambie achukue mzangazi kwenye bar yake pendwa au barmed hapo hapo. Bar
 
Nenda bar au kilabuni utamkuta!
 
Ndo mitaa yake hio wakati mwingne anaenda kahama au Geita,
 
Jamani hahaha mm nilitaka mwanaume mlevi tuwe tunakunywa wote Dodoma, napenda walev mimi jaman
 
Reactions: EEX
kila la kheri mkuu ila ulevi huo sijui unamsaada gani kwenye maisha yenu kuweni smart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…