Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.

Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).

Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.

 
Yawezekana ni chatu tu aliingia nyumbani kwao. Hizi story msiziamini, labda wangeweka video ya tukio la mwanaume akigeuka nyoka lakini nalo pia usiamini maana mengi ni simulation tu sio uhalisia.
 
Itakuwa huyo mganga ndo anamtaka huyo mwanamke labda kaona akifanya hivyo itakuwa rahis kumpata
 
Habari yenyewe imeletwa na mzizi mkavu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sasa huoni hapo ndo kapata dawa yenyewe maana huyo nyoka atakuwa anashinda naye nyumbani kuliko jamaa kiguu na njia.
 
Huyo nyoka atulie sasa,asijeanza kuzurura tena wakamgeuza kuku aliwe Christmas ๐Ÿค’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ