Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
ndo nilikua namjibu huyo kiongozi aliyesema eti labda chatu aliingia ndani bahati mbaya! Hata kama ingekua hivyo sasa mumewe kajificha wapi.. nyumba ndogo?Si mume wake hawajuani vipi 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo nilikua namjibu huyo kiongozi aliyesema eti labda chatu aliingia ndani bahati mbaya! Hata kama ingekua hivyo sasa mumewe kajificha wapi.. nyumba ndogo?Si mume wake hawajuani vipi 😀
Yaani hata nikiona picha ya nyoka hua natoa fasta! Hata hiyo picha ya dada Mzambia nimescrow fasta sana.. kwa kifupi sipendi manyoka nyoka kabisa!Ana shida gani? Umewahi kuangalia Snakes in the City?
Haka kamnyama gani? 🤣🤣
Kama hupendi au unaogopa basi jua kuna nyoka wenye madhara na wasio na madhara.Yaani hata nikiona picha ya nyoka hua natoa fasta! Hata hiyo picha ya dada Mzambia nimescrow fasta sana.. kwa kifupi sipendi manyoka nyoka kabisa!
Najua Mkuu.. Ila hata kama hana madhara sio rahisi sana kumfanya nyoka kua rafiki..Kama hupendi au unaogopa basi jua kuna nyoka wenye madhara na wasio na madhara.
Wasiokuwa na elimu kuhusu nyoka ndio hawawezi kuwafanya nyoka rafiki. Kwanza mlishaambiwa nyoka ni shetani kwenye biblia hivyo mkimuona mpondeni kichwaNajua Mkuu.. Ila hata kama hana madhara sio rahisi sana kumfanya nyoka kua rafiki..
😄😄😄😄... Hivi Nyoka ni Shetani au Mwanamke ndo Nyoka?Wasiokuwa na elimu kuhusu nyoka ndio hawawezi kuwafanya nyoka rafiki. Kwanza mlishaambiwa nyoka ni shetani kwenye biblia hivyo mkimuona mpondeni kichwa
Iltrend zamani hiiMwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.
Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).
Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.
View attachment 2573386
Huyo nyoka atulie sasa,asijeanza kuzurura tena wakamgeuza kuku aliwe Christmas
Zinduna....song ya Bahati Bukuku....Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.
Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).
Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.
Anaonekana ana uzoefu au ameelekezwa namna ya kumshikaChatu hujuani nae unaweza kumbeba ivo!!
Uongo huo,uongo huo,iyo ni uongo bana...hakunaaaMwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.
Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).
Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.
Kumbe mnatuendeaga kwa waganga ili tuwe mazezeta kwenu.Huyo Mganga asifike huku Tanzania nawaonea huruma Wanaume
LemurHaka kamnyama gani? 🤣🤣