Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka

Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka

Si mume wake hawajuani vipi 😀
ndo nilikua namjibu huyo kiongozi aliyesema eti labda chatu aliingia ndani bahati mbaya! Hata kama ingekua hivyo sasa mumewe kajificha wapi.. nyumba ndogo?
 
Mbona majina hujaweka ya aliegeuzwa nyoka na aliyemgeuza mwenzake nyoka.

Kuficha ficha vitu ni tabia ya waongo waongo na matapeli... kitaalamu inaitwa Obfuscations.

Waganga wengi wa kienyeji wanatumia mbinu ya Obfuscation kutapeli watu
 
Najua Mkuu.. Ila hata kama hana madhara sio rahisi sana kumfanya nyoka kua rafiki..
Wasiokuwa na elimu kuhusu nyoka ndio hawawezi kuwafanya nyoka rafiki. Kwanza mlishaambiwa nyoka ni shetani kwenye biblia hivyo mkimuona mpondeni kichwa
 
Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.
Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).
Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.

View attachment 2573386
Iltrend zamani hii
 
Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.

Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).

Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.

Zinduna....song ya Bahati Bukuku....

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Chatu hujuani nae unaweza kumbeba ivo!!
Anaonekana ana uzoefu au ameelekezwa namna ya kumshika
Angalia kamshika kichwa hapo hafurukuti tena na hana nguvu
Halafu huyo ni chatu mdogo bado

Chatu hana sumu
 
Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu.

Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake ndipo akamua kwenda kwa mganga wa kienyeji kupewa dawa ya mapenzi (Limbwata).

Alipofika nyumbani akafanya kama alivyoelekezwa na mganga lakini akashangaa baada ya kumpa dawa hiyo mumewe ghafla akaanza kugeuka joka.

Uongo huo,uongo huo,iyo ni uongo bana...hakunaaa
 
Mleta mada ni tapeli wa kiganga. Yaani binadamu ageuke nyoka. Kweli kabisa. Sijui shule gani alisoma kuwa kiumbe kimoja kinaweza kubadilika kuwa kiumbe kingine. Hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom