Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka

mbona wanakimbiliaga kushika chatu black mamba anhaa nhaa,iyo mizimu haiwezi kubadili dizaini kama black mamba akamshika kama hivyo.A.K.A KOBOKO[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Haya mambo yapo, huoni mchawi anavyojigeuza panya? Au angalia sinema za Nigeria. Huo ndio ulimwengu wa roho. "Sivyo vyote unavyoviona ndivyo vilivyo" Utaona mtu anaendesha Prado kumbe ni "fisi".
 
Wajinga ndiyo waliwao.
 
Inabidi uwe zwazwa wa kiwango cha PhD kuamini story za ushirikina. Unakuta mtu na ndevu zake anaamini hii futuhi

Mganga anatafuta wateja hapo kama yale makanisa yanayosema mtu kaanguka na ungo kanisani katika harakati za kutafuta wajinga zaidi in the name of waumini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…