Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo minene itapata radhi ambayo ni shida tupu na ukweli ni kwamba slim ladies ladies wanakuwa presentabble ata ukivaa nguo inapendeza
Wanaume hata hawajui wanapenda nini kwa mwanamke......
any suggestion wana jf
Wanaume hata hawajui wanapenda nini kwa mwanamke......
nivea, upande wangu naona kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanaume. Wengine sura, wengine umbile, wengine miguu, wengine wowowo, wengine wanawake wembamba nk. Baadhi yetu pia huwa huvutiwa hata kwa uwezo wa mwanamke kuongea vizuri, ucheshi, umakini, ukarimu na busara pia! Na wapo pia wanaovutiwa na michezo ya 6 X 6 na wala hawajitaabishi kuangalia mambo mengine nje na hilo.
Haujagundua kwa kusoma tu artile au comments za watu fulani fulani unajisikia kuvutiwa nao hata bila kuonana nao? So hata uongeaji wa mtu unaweza kuwavutia baadhi ya wanaume.
Ila kwa kifupi, sidhani kama kuna formula ktk hili jambo.
yaani mimi sijui inakuwaje hasa...nikumuona mwanamke cha kwanza kabisa ni kuangalia vidole vyake vya miguuni na mikononi...kuna aina fulani ya vidole nikishaviona tu basi nguvu sina tena....naweza tangaza hata ndoa ghafla!
yaani mimi sijui inakuwaje hasa...nikumuona mwanamke cha kwanza kabisa ni kuangalia vidole vyake vya miguuni na mikononi...kuna aina fulani ya vidole nikishaviona tu basi nguvu sina tena....naweza tangaza hata ndoa ghafla!
Mh!Kila umbo la mwanamke lina thamani na raha yake!
Pia uchaguzi hutofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mwingine.
"
Lakini issue ni "utukufu" bana,kama ni n.y.a.b.e taulo watakugombania!
"
Ila ka slim kanatafunika vizuri aisee! . . . . .Unakula mpaka mifupa!
any suggestion wana jf
Dem akiwa slim bas awe na sura nzuri na awe sexy... Ila kama kafungasha, hata kama hajajaaliwa sura, stimu inapanda...