Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Kila shetani na mbuyu wake na kila mwanaume anacho anachopenda toka kwa mwanamke
 
tatizo minene itapata radhi ambayo ni shida tupu na ukweli ni kwamba slim ladies ladies wanakuwa presentabble ata ukivaa nguo inapendeza

Yaani mpaka utumie 'kishazi' kunyanyapaa wenzio! Kaangalie ule uzi wa Allien kule kisha uje kusema hapa kuwa waliajaaliwa 'rehma' za maulana nguo haziwapendezi!
 
Last edited by a moderator:
mi napenda size ya kati kama akina naniliu... nyingine napenda tu kutisama kazi ya Muumba
 
Wanaume hata hawajui wanapenda nini kwa mwanamke......


Hahahahahahahahahah,

Hapa sasa umeongea kama Babu, tena wa ukweli...from the 1947 Club.....!!


I wish men knew what they want kwenye MMU...nakuhakikishia kuwa wengefugika zaidi ya broilers!!


Babu DC!!
 
yaani mimi sijui inakuwaje hasa...nikumuona mwanamke cha kwanza kabisa ni kuangalia vidole vyake vya miguuni na mikononi...kuna aina fulani ya vidole nikishaviona tu basi nguvu sina tena....naweza tangaza hata ndoa ghafla!
nivea, upande wangu naona kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanaume. Wengine sura, wengine umbile, wengine miguu, wengine wowowo, wengine wanawake wembamba nk. Baadhi yetu pia huwa huvutiwa hata kwa uwezo wa mwanamke kuongea vizuri, ucheshi, umakini, ukarimu na busara pia! Na wapo pia wanaovutiwa na michezo ya 6 X 6 na wala hawajitaabishi kuangalia mambo mengine nje na hilo.

Haujagundua kwa kusoma tu artile au comments za watu fulani fulani unajisikia kuvutiwa nao hata bila kuonana nao? So hata uongeaji wa mtu unaweza kuwavutia baadhi ya wanaume.

Ila kwa kifupi, sidhani kama kuna formula ktk hili jambo.
 
yaani mimi sijui inakuwaje hasa...nikumuona mwanamke cha kwanza kabisa ni kuangalia vidole vyake vya miguuni na mikononi...kuna aina fulani ya vidole nikishaviona tu basi nguvu sina tena....naweza tangaza hata ndoa ghafla!

Snipper Ina maana wewe utakuwa umeoa wanawake wengin sana. KWani kama vigezo ni hivi kwa siku waweza kuwakuta zaidi ya wanawake watano wenye sifa zako.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Last edited by a moderator:
yaani mimi sijui inakuwaje hasa...nikumuona mwanamke cha kwanza kabisa ni kuangalia vidole vyake vya miguuni na mikononi...kuna aina fulani ya vidole nikishaviona tu basi nguvu sina tena....naweza tangaza hata ndoa ghafla!

Snipper Ina maana wewe utakuwa umeoa wanawake wengin sana. KWani kama vigezo ni hivi kwa siku waweza kuwakuta zaidi ya wanawake watano wenye sifa zako.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Last edited by a moderator:
Mh!Kila umbo la mwanamke lina thamani na raha yake!
Pia uchaguzi hutofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mwingine.
"
Lakini issue ni "utukufu" bana,kama ni n.y.a.b.e taulo watakugombania!
"
Ila ka slim kanatafunika vizuri aisee! . . . . .Unakula mpaka mifupa!

Dah . . .
Hizi fasihi bana!

Asante kwa kunichekesha Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke mnene mkiwa katika 6x6 kuna shughuli sana kufikia njia panda. Ukimkunja analalamika maumivu.

Lakini SLIM ukiwa hata kwa mbali unapaona njia panda paleeeeee. Na kama samaki unamkunja upendavyo.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Siwezi kuwaongelea wengine ila mm napenda slim wenye kifua saizi
 
Wanawake wanene wanawapa faraja wale wanaoogopa ukimwi lakini bado wanapenda ngono.ukimwangalia unajiridhisha kuwa ni mzima.
 
Back
Top Bottom