Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukashusha ngap na sh ngapHamna niliacha katikati. Kuna hii ni nzuri sana. Inapatikana kwenye pharmacy kubwa. Nilikua nanunua kariakoo.View attachment 1408936
Sent From Galaxy S9
Kwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Hehe hata mm naonea promo na waliotumia wengine ni wauzaji ila ile bei ssHizo sijawahi kutumia tho naona zina promo
Sent From Galaxy S9
Tayari nishakuelekeza wahi ssWapi sasa mkuu
[emoji38]Usijali.... flaby arms and a potbell still gives gud loving
Nikajua nitaona google map kule Pm lakin wapiTayari nishakuelekeza wahi ss
Wanashindwa watafanyaje,ndomana michepuko haiwez kwishaNaonaga wamama wengi walioolewa Ni wanene...je Waume zao hawawapendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha[emoji38][emoji119]Nikajua nitaona google map kule Pm lakin wapi
I was really fat. Nilikua na kilo 80 hivi. Then nikaanza kutumia hiyo slimming tea pamoja na mazoezi ya hapa na pale saivi nina kilo 58 na nimeweza ku maintain kwa miaka mi4 hivi. Siku nikila sana nakunywa zangu slimming tea nalala. Baada ya mda hata hamu ya kula inapotea. Siku hizi situmii sana. Yani jeans niliyonunua toka 2016 mpaka leo bado inanitosha [emoji23]Ukashusha ngap na sh ngap
Fanya kweli basiHahahahaha[emoji38][emoji119]
Ananikera,af akili hana,week hii aliniomba hela ya saloon anataka kwenda kunyoa nywele zmemchosha,..si kaja kapiga panki halaf ka bleach kwa mbali nusu nimfukuze,stakag ujinga,kimoyo moyo nkamwambia utaendelea kuwa side chick mileleKusema.ukweli hata Mimi Saiv Nina kilo 80 ..kuna.muda najichukia...Natamani kupungua...lakini huyo side chick wako hujampenda kabisa...Tena.muache aende zake..atampata ambae anapenda.mapaja yake makubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu huyo dada umemchoka tu. Mwache aende zake.Ananikera,af akili hana,week hii aliniomba hela ya saloon anataka kwenda kunyoa nywele zmemchosha,..si kaja kapiga panki halaf ka bleach kwa mbali nusu nimfukuze,stakag ujinga,kimoyo moyo nkamwambia utaendelea kuwa side chick milele
[emoji38]kwahyo ni journey ya 4 years?!I was really fat. Nilikua na kilo 80 hivi. Then nikaanza kutumia hiyo slimming tea pamoja na mazoezi ya hapa na pale saivi nina kilo 58 na nimeweza ku maintain kwa miaka mi4 hivi. Siku nikila sana nakunywa zangu slimming tea nalala. Baada ya mda hata hamu ya kula inapotea. Siku hizi situmii sana. Yani jeans niliyonunua toka 2016 mpaka leo bado inanitosha [emoji23]
Sent From Galaxy S9
Usijal ss hvFanya kweli basi
Yes. Kitu kikiuzwa insta mara nyingi bei inakua ya kilanguzi. Nimeona wanatangaza slimming tea Tsh 30,000 insta wezi jaman[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe hata bei yake ni affordable kiasi hicho
Nipo kwenye waitingn listUsijal ss hv
Nilipungua in a year. Hiyo mingine ni kumaitain figure[emoji38]kwahyo ni journey ya 4 years?!
I was really fat. Nilikua na kilo 80 hivi. Then nikaanza kutumia hiyo slimming tea pamoja na mazoezi ya hapa na pale saivi nina kilo 58 na nimeweza ku maintain kwa miaka mi4 hivi. Siku nikila sana nakunywa zangu slimming tea nalala. Baada ya mda hata hamu ya kula inapotea. Siku hizi situmii sana. Yani jeans niliyonunua toka 2016 mpaka leo bado inanitosha [emoji23]
Sent From Galaxy S9
Insta wanauza apple cinder vinegar mpaka elfu60 kwa 35 wakati mm nachukua kkoo 15k sijui kwann ni wa hvyo instaYes. Kitu kikiuzwa insta mara nyingi bei inakua ya kilanguzi. Nimeona wanatangaza slimming tea Tsh 30,000 insta wezi jaman[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent From Galaxy S9