Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Kumbe hata bei yake ni affordable kiasi hicho
Hii pia nimetumia. Honestly it's useless haifanyi kazi. Instagram nimeona mtu anauza 30k lkn zanzibar zinapatikana kwa k10
s-l300.jpeg


Sent From Galaxy S9
 
Ilikua akiniimbia hvyo najifanya kununa ila deep down I was happy. Alifariki kwa ajali ya gari December last year [emoji26].

Sent From Galaxy S9
Kwahyo umeshapata mwingne ,kwel umetisher,december last yr si juz tuu,kwahyo mkuu umekata mti umepanda mti
 
Halafu mabonge wengi wachafu kwenye ikulu
Ushaur tuu kwa dada zangu,sasa ndo nmeelewa y wazungu wana criteria za mwanamke mzur aweje,,mwanamke mwembamba,kama mamiss wale etc,akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisaaa

Mwanamke ukiwa mnene unakata stim kabisaa ,ushaur huu uzingatiwe na dada zetu,

Yaan stim znakwisha kabisa anakua kama,hata ujirembe vip,hta ujisexishe vip,mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wik tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawke wao sasa ni vibonge wanaishije,mim sidechick tuu ananipa kero

Uz tayar,nmeandika haraka haraka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji38]mm nipe msaada wa hio duka na mtaaa nikajizolee tea
Hiyo hapo. Nimeshare tu kiroho safi sina ubia kwenye hiyo pharmacy wala sipo Tz [emoji23]. Kana watu watasema najipa promo
Screenshot_20200404-220042_Maps.jpeg


Sent From Galaxy S9
 
Hahaha mkuu huyo dada umemchoka tu. Mwache aende zake.

Sent From Galaxy S9
Akil hana,..huyu ni side chick wangu kitambo sana,alikuaga mzur sana zaman anasura nzur n shape nzur sana,sasa ndan ya hii miaka miwil amekua kifutu kama nyoka kfutu,namwambia kila siku,mama,hips sizion tena,tako silion tena,maziwa ndo yamepanda juu utafkir nin,mashavu,daaaah,..anasema ntapungua,kila siku ntapungua,sema uzur wake linanipenda sana,na kumwacha namwonea huruma,yaan niko nae had leo sabab ya huruma tuu,
 
Akil hana,..huyu ni side chick wangu kitambo sana,alikuaga mzur sana zaman anasura nzur n shape nzur sana,sasa ndan ya hii miaka miwil amekua kifutu kama nyoka kfutu,namwambia kila siku,mama,hips sizion tena,tako silion tena,maziwa ndo yamepanda juu utafkir nin,mashavu,daaaah,..anasema ntapungua,kila siku ntapungua,sema uzur wake linanipenda sana,na kumwacha namwonea huruma,yaan niko nae had leo sabab ya huruma tuu,
Hahahaha umenichekesha. Ukimwacha tu atakonda na stress umtamani tena

Sent From Galaxy S9
 
Aise hili ni janga la taifa. Ni kweli wanawake wanene hawana steam kabisa. Ulichosema nakibariki 100%. Hawa wanapendeza tu kuwa side chick ila ukiweka ndani unaweza kujihisi una upungufu wa nguvu za kiume kumbe ni wao. Hawafai kukumbatia, usiku hamuwezi kushare shuka, kitu ni mbuyu.

Haki naapa kinachonitoa nje ya ndoa yangu ni unene wa mke wangu. Kipindi namchumbia alikuwa tu wastani japo alionesha kuwa na dalili za unene, akajifanya nae haupendi atafanya mazoezi. Tangu nimemuhakikishia maisha hataki kusikia neno mazoezi wala balance diet, michips, miwali anafakamia kama mchwa mpaka huwa nasikitika hivi huyu ana mpango gani?

Kuna mamake akija ananilaumu vipi mbona unamwacha ananenepa hivi? Namuuliza vipi mama nimshindishe na njaa? Yaani kosa mwanangu ningekuwa nishapiga chini ila nimenasa, mwanangu nampenda sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo umeamua Kuja kunisema Huku JF, si ungeniambia nyumbani..Yaaani nlijua TU unachepuka Mbweha wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah hapo kwenye kupunguza wanga, nitakula nini kapuku mimi
Unaweza my dear...sio kwamba unakula.nyama badala ya maandazi mawili kula Moja..sukari nusu kijiko..Yaaani portion control. You can do it.. Mimi nilinenepa 2018 Kuna Dawa niliandikiwa hospital nlitoka kilo 64 Hadi 94 imagine...ndani ya mwaka mmoja..so Saiv napambana na kurudisha mwili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom