Tatizo ni dawa za uzazi wa mpango, ndio zinawafanya wawe na vitambiKuna mtu majuzi humu alilalamika mkewe anampumulia sana... Bila shaka huyo KE atakuwa mnene.
Nawatania tu wanene. Msinimind[emoji41][emoji41][emoji41]
Sasa kilo 60 mwanaume anashika nini eti,,,Ulivyo amka leo 😂😂😂😂
Kwa jinsi nilivyo siitaji hata kuongezeka kwa sasa
Kidude kidogo hakiletwi na kitambi, ni maumbile ya mtu ya kuzaliwa.Naskia wanaume wenye vitambi wana kidude kidogo. Ila sijawahi kuprove [emoji23]
Sent From Galaxy S9
Mwanamke akiolewa akatulizwa kwa upendo, kunenepa ni lazima, ni wachache sana wanaobakia kimbaumbau katika ndoa za amani na upendo!Naonaga wamama wengi walioolewa Ni wanene...je Waume zao hawawapendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhInategemeana na umbile la mtu,, ongeza kidogo mdogo wangu jamani
Kiukweli kabisa kutoka moyoni ningekuwa dume chini ya 70 sikukuli
Kwa uchakavu upi tuliokia nao
Uzuri ni kwako tu haujabeba macho ya ulimwengu mzima ndugu
Kama huko 32+ kazania hizo kilo zako... Ila kama under 30....nakusikitikia tu hapaSasa kilo 60 mwanaume anashika nini eti,,,
Mi ni team bonge fatilia humu mada za vibonge japo mie ni wastani tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mm sio mnene ni thickKumbe na wewe mnene siku hizi
Mkuu, kilo 80 unajchukia! Naona kama unakufuru'ivi!Kusema.ukweli hata Mimi Saiv Nina kilo 80 ..kuna.muda najichukia...Natamani kupungua...lakini huyo side chick wako hujampenda kabisa...Tena.muache aende zake..atampata ambae anapenda.mapaja yake makubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenichekesha...Mke mwembamba watu wanahisi unamtesa yaani unamnyima chakulaMkuu, kilo 80 unajchukia! Naona kama unakufuru'ivi!
Sijajua unajichukiaje, wakati mwanaume kumiliki mwanamke mwenye kilo 80 ni sifa na heshima kubwa!
Mkeo akiwa mwembamba watu huhisi unamtesa'ujue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mm najione bonge na mtuYaani 65kg unajiona mnene? Mbona huo mwili wa kawaida sana
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
HahahahahaTusubilie tunaopenda wanene tuende popote unapotaka
Vipi mshipa?Duuh
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
Hahaha ukiniona mwili wangu nikakwambia na idadi ya watoto niliyonayo hutaamini macho yakoKama huko 32+ kazania hizo kilo zako... Ila kama under 30....nakusikitikia tu hapa
MZUNGU AKISHASEMA MZURI NI MWEMBAMBA FULL STOP HUO NDIO UKWELI MIMI NI NANI NIBISHE BISHE
Sent using Jamii Forums mobile app